grand casual
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 255
- 155
Mama Anna Mgirwa yupo?
Ila Mama Samia Suluhu atakuwa na wakati mgumu sana kwa staili ya uongozi wa huyu jamaa. Maana amemfanya kama msaidizi wake anampangia ratiba kila siku. Hivi huyu mama kuna siku anaweza kujipangia majukumu yake ya kiofisi kweli? Au ndo namna ya kumfanya asifurukute? Kazi za raisi kila siku???Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amekutana na wakuu wa mikoa wote nchini,, kwenye ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam, leo Jumanne Juni 13.
Katika kikao hicho pia Makamu wa Rais , Samia Suluhu Hassan, naye alihudhuria pamoja na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi , Balozi John Kijazi na baadhi ya mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju.
Rais amewapa maagizo wakuu wa mikoa kukamata mashamba ambayo hayajaendelezwa na kuyagawa kwa wananchi
View attachment 523342
View attachment 523346
View attachment 523345
Hasara yule..Bashite simuoni, labda ameenda kulinda makanikia
Makamu wa rais kwa Tanzania kwani ana nguvu gani?mimi naona ni cheo cha kufutwa tu, tuna waziri mkuuIla Mama Samia Suluhu atakuwa na wakati mgumu sana kwa staili ya uongozi wa huyu jamaa. Maana amemfanya kama msaidizi wake anampangia ratiba kila siku. Hivi huyu mama kuna siku anaweza kujipangia majukumu yake ya kiofisi kweli? Au ndo namna ya kumfanya asifurukute? Kazi za raisi kila siku???
umemuona mkuu gani wa mkoa?Hasara yule..
Mtu anakataa jina lake alilopewa na wazazi wake..
Balaa tupu dogo.
onesha kwanza cheti chako wewe.Wamekaguliwa vyeti?