Ndio maana kuna watu wanaoitwa maafisa mipango miji.what will happen if ardhi yote itagawanywa kwa watu bila kubakiza reserve ya ardhi? Future generation itaishi wapi...vp kuhusu mipango ya baadae ya serikali.
Halafu ardhi inayozungumziwa ni ile ambayo imeshagawiwa kwa watu lakini wameacha mapori kwa hiyo inatakiwa iwe re-allocated