You are not Rich person and nobody will ask you that question therefore just give us your opinion.ngoja ninyamaze msije niuliza kwani wewe unayo
What kind of history ?.Labda wanataka historia isipotee
Unateseka ukiwa wapi?Nimeshangaa kuona jengo la Ikulu ya Dodoma bado ni Arabic architecture yani kama Ikulu ya Dar tu,
Miaka sitini ya uhuru nchi imeshindwa kutengeneza wasanifu ujenzi ambao wanaweza kudesign jengo la ikulu la kitanzania!
Tunakopi na ku paste architecture ya mwarabu mkoloni ya karne ya 18?
Sijui hata tunakwama wapi wabongo?
Halafu mbaya zaidi naona tumeshindwa kuficha mabomba ya maji taka tena kwenye front view, ni huzuni kwakweliView attachment 2255808
Unasema Arabic architectureNimeshangaa kuona jengo la Ikulu ya Dodoma bado ni Arabic architecture yani kama Ikulu ya Dar tu,
Miaka sitini ya uhuru nchi imeshindwa kutengeneza wasanifu ujenzi ambao wanaweza kudesign jengo la ikulu la kitanzania!
Tunakopi na ku paste architecture ya mwarabu mkoloni ya karne ya 18?
Sijui hata tunakwama wapi wabongo?
Halafu mbaya zaidi naona tumeshindwa kuficha mabomba ya maji taka tena kwenye front view, ni huzuni kwakweliView attachment 2255808
Usijali mkuu, ya kisasa utajenga nyumba yako.Kwa kweli hata mie nimeshangaa,ina maana mpaka karne hii hakuna ramani ya kisasa kuliko hii?
HeeeeeeYou are not Rich person and nobody will ask you that question therefore just give us your opinion.
Kwahiyo ulitaka tujenge kwa African Architecture kwa kujenga design ya msonge?Nimeshangaa kuona jengo la Ikulu ya Dodoma bado ni Arabic architecture yani kama Ikulu ya Dar tu,
Miaka sitini ya uhuru nchi imeshindwa kutengeneza wasanifu ujenzi ambao wanaweza kudesign jengo la ikulu la kitanzania!
Tunakopi na ku paste architecture ya mwarabu mkoloni ya karne ya 18?
Sijui hata tunakwama wapi wabongo?
Halafu mbaya zaidi naona tumeshindwa kuficha mabomba ya maji taka tena kwenye front view, ni huzuni kwakweliView attachment 2255808