TANAPA tena!!!!!!! imekuwaje kikwete ameona TANAPA kabla wabunge hawajaliona hilo a TANAPA. Because TANAPA=BUNGE
Ni pale amabpo anayetakiwa kuwa mlinzi anapoanza kuwa mdokozi. atawazuiaje wadokozi wengine......
Je kamati ya Bunge inayohusika na maliasili iko wapi imjibu Kikwete kuhusu TANAPA. AU hawalijui hilo lol hizi movie si mchezo.
Vipi kuhusu posho za wabunge?...
Hahaha, never trust a smiling face!
Kama kawa kama dawa! Hongera facebook!
Angalau AMESEMA! Atoke sasa ASIMAMIE HOJA yake! Safari tungependa aongee na waandishi wa Habari ama wahariri, ili wamwulize maswali. Aseme yooote yaliyomo moyoni mwake, yaani aende hatua moja mbele, zaii ya yale anayoandaliwa na Salva pamoja na January!
Mwacheni mwenzenu anaogopa ivooKwa nini rais asiandike waraka wa kusitisha posho rasmi badala ya kulalamika kwenye social media kama mwanachi wa kawaida? Anakumbuka ni kitu gani kimeandikwa kwenye ule mpango wa maendeleo wa taifa aliuzindua kwa mbwembwe Dodoma? Ashindwe kusamamia chama hata hili la posho nalo?
Hizi ni SIHASA za Tanzania, mambo muhimu hayapewi umuhimu. yasiyo ya muhimu ndo anayavalia njuga
yeye analipwa tsh ngapi? Aweke wazi marupurupu yake hapa.. ..wabunge nao vipi? Anawasainia lini?