Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Tunahitaji ufafanuzi wa Ikulu ili mambo yote yafanyike kwa utaratibu mzuri badala ya mikurupuko ya amri na utekelezaji usio na lojiki.
Kumekuwa na mkanganyiko katika ofisi za serikali na taasisi za umma juu ya kusafiri nje. Kila ombi la kusafiri nje sasa linakataliwa kwa sababu kwamba rais Magufuli kapiga marufuku wafanyakazi kusafiri nje ya nchi. Wakuu makazini hawakubali kuipitisha safari hata zile zilizofadhiliwa (full sponsored trips) kwa kuogopa Magufuli atawatumbua majipu!
Katika hali hii, ni vema Ikilu wakatoa ufafanuzi. Je, marufuku ya safari za nje, kama lengo ni kubana gharama za serikali, yanahusu pia safari zilizofadhiliwa kwa kila gharama ya safari? Na kama safari hizo hazihusiki, nazo zinahitai kibali cha ikulu ili mfanyakazi aweze kusafiri?
Waandishi wa habari tunaomba msaada katika kufikisha ujumbe huu Ikulu.
Kumekuwa na mkanganyiko katika ofisi za serikali na taasisi za umma juu ya kusafiri nje. Kila ombi la kusafiri nje sasa linakataliwa kwa sababu kwamba rais Magufuli kapiga marufuku wafanyakazi kusafiri nje ya nchi. Wakuu makazini hawakubali kuipitisha safari hata zile zilizofadhiliwa (full sponsored trips) kwa kuogopa Magufuli atawatumbua majipu!
Katika hali hii, ni vema Ikilu wakatoa ufafanuzi. Je, marufuku ya safari za nje, kama lengo ni kubana gharama za serikali, yanahusu pia safari zilizofadhiliwa kwa kila gharama ya safari? Na kama safari hizo hazihusiki, nazo zinahitai kibali cha ikulu ili mfanyakazi aweze kusafiri?
Waandishi wa habari tunaomba msaada katika kufikisha ujumbe huu Ikulu.