Ikulu ilifafanua kuwa, safari za nje kwa watumishi wa umma zitaruhusiwa iwapo ikulu itajiridhisha kuwa kwa safari hiyo kuna manufaa kwa taifa! Hata kwa sponsorship ni lazima ujulikane safari hiyo inamanufaa kwa taifa maana pindi mtumishi wa umma akisafiri nje pasipo manufaa ya taifa kazi za mtumishi huyo nchini zitafanywa na nani wakati mtumishi huyo analipwa kwa kazi hiyo! Kwa hiyo mtumishi wa umma atasafiri nje kwa manufaa ya taifa mkuu!
Ikulu ilifafanua kuwa, safari za nje kwa watumishi wa umma zitaruhusiwa iwapo ikulu itajiridhisha kuwa kwa safari hiyo kuna manufaa kwa taifa! Hata kwa sponsorship ni lazima ujulikane safari hiyo inamanufaa kwa taifa maana pindi mtumishi wa umma akisafiri nje pasipo manufaa ya taifa kazi za mtumishi huyo nchini zitafanywa na nani wakati mtumishi huyo analipwa kwa kazi hiyo! Kwa hiyo mtumishi wa umma atasafiri nje kwa manufaa ya taifa mkuu!
Tunahitaji ufafanuzi wa Ikulu ili mambo yote yafanyike kwa uratatibu mzuri badala ya mikurupuko ya amri na utekelezaji usio na lojiki. Kumekuwa na mkanganyiko katika ofisi za serikali na taasisi za umma juu ya kusafiri nje. Kila ombi la kusafiri nje sasa linakataliwa kwa sababu kwamba Raisi Magufuli kapiga marufuku wafanyakazi kusafiri nje ya nchi. Wakuu makazini hawkubali kuipitisha safari hata zile zilizofadhiriwa (full sponsored trips) kwa kuogopa Magufuli atawatumbua majipu!
Katika hali hii ni vema Ikilu wakatoa ufafanuzi. Je, marufuku ya safari za nje, kama lengo ni kubana gharama za serikali, yanahusu pia safari zilizofadhiriwa kwa kila gharama ya safari? Na kama safari hizo hazihusiki, nazo zinahitai kibali cha Ikulu ili mfanyakazi aweze kusafiri?
Waandishi wa habari tunaomba msaada katika kufikisha ujumbe huu Ikulu.
Labda mngetuazima Mkuu wenu wa Idara japo kwa mwezi mmoja!
Huu sasa ni uditekta
Naona serikali hii inakimbia majukumu yake na kuwatwisha watumishi mizigo hiyo. Na watumishi wakishindwa ama kuchoka kuibeba mizigo hiyi, atakayeumia ni lofa anayeshabikia game hii bila kujua madhara yake.
Hapa si rahisi kupata jibu. Humu wamejaa watu wasio watumishi wa umma na wana wivu kweli kweli. Swali lina mantiki lakini utaona yanavyokuja kujibu majitu yaliyoajiriwa kwa wahindi. Kuna safari nyingi tu zina ufadhili wote kila mwaka kwa watumishi wa umma wa nchi za Africa na Asia. Hizo hazihitaji hela ya serikali, tena kuipata nafasi ilikuwa lazima Utumishi wakuidhinishe. Sasa tunawaachia Wakenya na Wanigeria wakaongezewe uwezo wa kiutendaji wakati sisi tunaziachia nafasi kwa kisingizio cha amri ya rais. Ni kupoteza opportunity za bure kabisa. Hao wenzetu wanaenda kuongezewa maarifa halafu wanakuja kukamata soko, wakati tungekuja kuwapa maujanja ndugu zetu nao wapambane nao kwenye sekta binafsi. Acheni hizo mlioajiriwa kwa wadosi
Hapa si rahisi kupata jibu. Humu wamejaa watu wasio watumishi wa umma na wana wivu kweli kweli. Swali lina mantiki lakini utaona yanavyokuja kujibu majitu yaliyoajiriwa kwa wahindi. Kuna safari nyingi tu zina ufadhili wote kila mwaka kwa watumishi wa umma wa nchi za Africa na Asia. Hizo hazihitaji hela ya serikali, tena kuipata nafasi ilikuwa lazima Utumishi wakuidhinishe. Sasa tunawaachia Wakenya na Wanigeria wakaongezewe uwezo wa kiutendaji wakati sisi tunaziachia nafasi kwa kisingizio cha amri ya rais. Ni kupoteza opportunity za bure kabisa. Hao wenzetu wanaenda kuongezewa maarifa halafu wanakuja kukamata soko, wakati tungekuja kuwapa maujanja ndugu zetu nao wapambane nao kwenye sekta binafsi. Acheni hizo mlioajiriwa kwa wadosi
Hapa si rahisi kupata jibu. Humu wamejaa watu wasio watumishi wa umma na wana wivu kweli kweli. Swali lina mantiki lakini utaona yanavyokuja kujibu majitu yaliyoajiriwa kwa wahindi. Kuna safari nyingi tu zina ufadhili wote kila mwaka kwa watumishi wa umma wa nchi za Africa na Asia. Hizo hazihitaji hela ya serikali, tena kuipata nafasi ilikuwa lazima Utumishi wakuidhinishe. Sasa tunawaachia Wakenya na Wanigeria wakaongezewe uwezo wa kiutendaji wakati sisi tunaziachia nafasi kwa kisingizio cha amri ya rais. Ni kupoteza opportunity za bure kabisa. Hao wenzetu wanaenda kuongezewa maarifa halafu wanakuja kukamata soko, wakati tungekuja kuwapa maujanja ndugu zetu nao wapambane nao kwenye sekta binafsi. Acheni hizo mlioajiriwa kwa wadosi
Bila shaka wewe una kichwa kigumu au una masikio mabovu...Serikali ilishatoa ufafanuzi kuwa safari yeyote nje ya nchi kwa mtumishi wa Umma lazima ipate kibali kutoka kwa katibu mkuu kiongozi haijalishi nani anaigharamia!
Mkuu mf mimi, nna safari imefadhiliwa gharama zote na serikali yao, na nimejaza form za kuomba kibali kwa KM, nasubiria kibali na huku tarehe ya safari inakaribia, najiuliza itakuwaje km kibali sintapata mpk siku ya safari?