Ikiwa hatutumii asilimia 90 ya tunavyojifunza shuleni, kwanini tunajifunza?

Elimu za shule mengi hayana faida na wewe Geograph iko update google kuliko hivyo vitabu vya shule sasa ukija katika History kuna uwongo kibao humu hakuna uhalisia utasikia tulipigana na wazungu sasa wakati huo bastola tu huna leo hii una majeshi na vifaa na huwezi kupigana nao mambo ya kudanganya tu. Uhuru nchi zilipangiwa zote kwa muda, sasa uje kwenye biashara huko siku hizi kuna ma software tu yanafanya kila kitu. Ila unatoa ujinga tu mwanzo lakini ukishakuwa na akili zako mengine yanapoteza muda tu.
 
Mleta mada muongo asilimia tisini tuliyosoma tunayatumia

Mfano kiswahili na kiingereza tunakitumia

Hesabu tunazitumia kwenye maisha ya kila siku kwenye biashara nk

geografia tunaitumia kila siku huwezi kwenda safari popote kama hujui jiografia kuwa ukitoka hapa utaelekea wapi

Historia tunaitumia kujua ni kiongozi yupi anafaa au nani apewe kazi ipi kuangalia uzoefu wake ni somo la historia

nk

wewe sema ndio hujui
 
Kutozitumia sasa mnataka alaumiwe nani?.

Kujua mambo mengi ni faida kuliko hasara kazi ibaki kwako utaenda kuitumia vipi.
 
Kama vyote umeweza kuvifanyia kazi, Uko vizuri sana mkuu
Kwenye mifugo tunasoma jinsi kufuga wanyama km ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe na wanyama jamii ya ndege km kuku na bata. Pia tunajifunza ujenzi wa mabanda bora ya mifugo na magonjwa ya mifugo.

Hata km siwezi kufuga hao wanyama wote lakini naweza kuwashauri ndugu na jamaa wanaofuga wanyama wengine. Tofauti na mtu aliyesomea HR kwa mfano akikosa ajira za ofisini hana cha kufanya kutokana na alichokisomea.
 
Nakubali mkuu
wewe unataka vifanye kazi kwa pamoja

ila niamini unatumia sana tu
zile alama za barabarani ulisoma darasa la ngapi
kila kitu unachokiona umekisoma shule ila umeamua tu kubishana
na nishamaliza
 
Let us think of how the world would have been like, if individuals were given an opportunity to grow their potentials. I'm sure, life would have been a little heaven, indeed!
 
Elimu za shule mengi hayana faida na wewe Geograph iko update google kuliko hivyo vitabu vya shule sasa ukija katika History kuna uwongo kibao humu hakuna uhalisia utasikia tulipigana na wazungu sasa wakati huo bastola tu huna leo hii una majeshi na vifaa na huwezi kupigana nao mambo ya kudanganya tu. Uhuru nchi zilipangiwa zote kwa muda, sasa uje kwenye biashara huko siku hizi kuna ma software tu yanafanya kila kitu. Ila unatoa ujinga tu mwanzo lakini ukishakuwa na akili zako mengine yanapoteza muda tu.
Kwa kulitambua hilo, Uko vizuri sana mkuu
 
Mleta mada muongo asilimia tisini tuliyosoma tunayatumia

Mfano kiswahili na kiingereza tunakitumia

Hesabu tunazitumia kwenye maisha ya kila siku kwenye biashara nk

geografia tunaitumia kila siku huwezi kwenda safari popote kama hujui jiografia kuwa ukitoka hapa utaelekea wapi

Historia tunaitumia kujua ni kiongozi yupi anafaa au nani apewe kazi ipi kuangalia uzoefu wake ni somo la historia

nk

wewe sema ndio hujui
Hapo unamaaisha ambae hajasoma hajui kutumia kiswahili na kiingereza?

Je ambae hajasoma hajue hesabu za kwenye biashara?

Ambae hajasoma hajui geographia? La hasha, ila tulivosoma vingi sana hatujavitumia
 
Let us think of how the world would have been like, if individuals where given an opportunity to grow their potentials. I'm sure, life would have been a little heaven, indeed!
Absolutely facts
 
Kutozitumia sasa mnataka alaumiwe nani?.

Kujua mambo mengi ni faida kuliko hasara kazi ibaki kwako utaenda kuitumia vipi.
Mfumo mzima kutokea wizara husika kushuka chini

Kujua mambo mengi tunayoyafanyia kazi ni faida hata zaidi
 
Hautumii asilimia 90 sawa ila wewe ndio utaamua katika hizo 100 utumie 10 zipi
hivyo unapewa chaguo kubwa baadae uchague kinachokufaa

ulipo kuwa mtoto ulitaka kuwa rubani ulivyokuwa mkubwa ukatambua hesabu hujui
ukaangukia kwenye siasa ukapiga watu ukawa ole sabaya
dah
 
Back
Top Bottom