Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,111
- 158,967
Hili sina jibu nalo maana sijui kwakweli, maybe ungewauliza hao walioshare.Hv labda nikuulz kwann wanawake hupenda kushare boy mmoja at km akijua ni Shem wake??
Hili sina jibu nalo maana sijui kwakweli, maybe ungewauliza hao walioshare.Hv labda nikuulz kwann wanawake hupenda kushare boy mmoja at km akijua ni Shem wake??
Hili sina jibu nalo maana sijui kwakweli, maybe ungewauliza hao walioshare.
Well said.Upendo hauna sababu kwa sababu upendo wenyewe ndio sababu...so ukipenda umependa,, Ila kama ulitumia sababu kupenda utakwama
Mapenzi hayakamiliki bila kupendana..Upendo hauna sababu kwa sababu upendo wenyewe ndio sababu...so ukipenda umependa,, Ila kama ulitumia sababu kupenda utakwama
Mmmmh kwani hujui? Maisha yamebana kweli kweli , hela hakuna na mapenzi hayapo tena. Na baadoooNitamshukuru sana kwa ukweli mchungu lkn utaniweka huru
Rate ya thread za kuachana achana imeongezeka sana mwaka huu sijui kwa nini!
You have said it ALLUnajua penye mapenzi ya kweli huwa walaaa hapahitaji juhudi saana, yani unajikuta tu unamtendea mwenzio vile ungependa akutendee na walaa huoni tatizo.
That person ambae ukimfikiria unafurahi tu, mtu ambae ukiamka unaposali lazima umjumuishe kwenye sala, baada ya hapo utataka kujua ameamkaje na kumtakia siku njema, jioni utamtafuta kujua siku yake ilikwendaje, tena mnaweza pigiana mkasali pamoja na kutakiana usiku mwema, mkiwa mke na mume ndio rahisi kabisa.
Sasa mahusianao ya hivyo haki huwezi kumwambia mwenzio kauli za ajabu ajabu, na hata ikitokea mmekosana yaani hamtalala bila kumaliza tofauti zenu, true love inanguvu sana.
Pole ndugu yangu.Nliambiwa hvo na my
X wang ckua na
Otherwise nlikubali japo
Kumoyo nliumia,sana
Mmmmh kwani hujui? Maisha yamebana kweli kweli , hela hakuna na mapenzi hayapo tena. Na baadooo
Jah man kama umempata anaestahili moyo wako..jah blessSame asee nilimpendaga huyo mduu akaniambiaga hzo words asee niliwish ardhi ipasuke niingie but nashukuru JAH nipo nafuraha na manzi wangu.
Kabisa best yanguNa ndo maana tunasisitiziwa usimpende mtu sababu ya kitu fulani, hilo ndo linalotumaliza. Siku kikikosekana na mapenzi yameishia hapo, penda kwa moyo wako wote, nguvu zako zote na akili zako zote na Mungu atakuona. Upendo ndo kila kitu kwenye mapenzi
True mkuuUpendo hauna sababu kwa sababu upendo wenyewe ndio sababu...so ukipenda umependa,, Ila kama ulitumia sababu kupenda utakwama
Anayekupenda hatotaka kukuona unaumia mkwe!! Mkipendana kweli basi mengine yanaflow tu hata ikitokea shida basi mnaitatua vizuri tu. Speaking out of experience.
Kupendana haimaanishi basi mtaishi bila vikwazo,vikwazo vipo ila upendo mlionao utawasaidia katika kutatua tatizo hilo smoothly. Na hapa naongelea upendo wa pande zote.
Thanks mkuu life tuPole ndugu yangu.
Hahah ...i like the name thoughPatoranking nice thread
Kuna sababu bilioni za kupoteza hisia kwa mpenzi wako baada ya muda kadhaa.
" patoranking "Hahah ...i like the name though
"patoranking"
" patoranking "
That's your name