Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Wataalamu,
Naomba kueleweshwa kwa jambo hili, ikitokea nchi yetu tukapata Rais mwanamke, je mume atakuwa anaogozana na mke wake? Na kama ni mfanyakazi ataacha kazi ili kuwa karibu na Rais?
Nimeuliza kwa nia ya kueleweshwa maana hapa ndani kuna wataalamu wazuri wa mambo mbalimbali.
Nawasilisha kwenu wakuu.
Naomba kueleweshwa kwa jambo hili, ikitokea nchi yetu tukapata Rais mwanamke, je mume atakuwa anaogozana na mke wake? Na kama ni mfanyakazi ataacha kazi ili kuwa karibu na Rais?
Nimeuliza kwa nia ya kueleweshwa maana hapa ndani kuna wataalamu wazuri wa mambo mbalimbali.
Nawasilisha kwenu wakuu.