Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Habari wanajamvi,
(I have read this publication from the Vanguard Africa Foundation website and I am eager to share with you. Thanks!)

the wicked stepmother.

Source:
Kumuita mtu mwenye jicho kama hili, "the wicked stephmother" sio kumtendea haki!, haswa kwa kuzingatia jicho la upendo kama hili, hivyo kumuita a wicked step mother mtu ambaye sio wicked, sio kumtendea haki!.

P.
 
Duuhh kwa uzi huu , mkuu Mayalla ni bora ulizaliwa zaman saiz una mke na watoto.

BILA HIVO izi ligi za ujana kwasasa usingeziweza kabisa , na watoto wakali wakali km Jokate, Usingethbutu hata kumshika mkono maana ni kiongozi alafu ni mkaliiii kinyama.

Watoto hawa wanapenda sisi masela, ambao tunajiamin kiasi kwamba hata mbele za vyombo vya habar bado unaweza mwambie "Mkuu wangu umependeza sana nahayo macho yako mimi najikuta ulimi unakua mzito"

Utamuona anacheka cheka kwa aibu alafu anakujibu " hahah Pascal bwanaaaa ,aya nashukuru sana".


Umenikumbusha Mzungu mmoja m'mama alinifundishaga Pathology , sasa huyu mama kila nlipokutana naye namsifia kinyamaa, aiseeee kuna likizo yupo Kwao Ujeruman alivorudi kanilitea Bongee la zawadi .


NASIKITIKA KUKUAMBIA WATOTO WAKALI WAKALI WOTE UNGEWAITA SHEMEJI
Zawadi gani mkuu?
 
Wana MMU,

Salaam.

Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!.

Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye jicho, unafurahi na huchoki kumwangalia.

Je, kuna ubaya ukimsifia kiongozi huyo au itaonekana huo ni ukosefu wa adabu, heshima, nidhamu na ustaarabu?.

Kama kiongozi fulani amejaaliwa, kuna ubaya wowote kumsifia?.

Nimeuliza hili swali kufuatia kuangalia ITV matangazo ya moja kwa moja, mubashara, ya Tuzo za I Can, zinazotolewa na Reginald Mengi kupitia Taasisi yake ya Reginald Mengi Foundation, inayowasaidia watu wenye ulemavu, mgeni rasmi ni kiongozi fulani mwanamke, ana jicho hilo!.

Paskali.
Umenikumbusha shingo ya ummi Mwalimu
Nampenda yule bi dada
 
Nilijua nimeona peke yangu, lile jicho na tabasamu lake na kwa umri ule, je ujanani ilikuwaje. Mungu kambariki sana na ule upole wake na azidi kumbariki zaidi.
Mkuu Asante Sana, Thank you, sala yako ya Mungu kambariki sana, na azidi kumbariki imejibu, amembariki na anazidi kumbariki.
P
 
1635906540187.jpeg


Wana MMU,

Salaam.

Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!.

Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye jicho, unafurahi na huchoki kumwangalia.

Je, kuna ubaya ukimsifia kiongozi huyo au itaonekana huo ni ukosefu wa adabu, heshima, nidhamu na ustaarabu?.

Kama kiongozi fulani amejaaliwa kitu fulani, mfano Jokete ni mrembo, jee kuna ubaya wowote kumsifia Jokate ni mrembo?.

Nimeuliza hili swali kufuatia kuangalia ITV matangazo ya moja kwa moja, mubashara, ya Tuzo za I Can, zinazotolewa na Reginald Mengi kupitia Taasisi yake ya Reginald Mengi Foundation, inayowasaidia watu wenye ulemavu, mgeni rasmi ni kiongozi fulani mwanamke, ana jicho hilo!.

Paskali.
 
Wana MMU,

Salaam.

Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!.

Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye jicho, unafurahi na huchoki kumwangalia.

Je, kuna ubaya ukimsifia kiongozi huyo au itaonekana huo ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu, heshima na ustaarabu?.

Kama kiongozi fulani amejaaliwa kitu fulani, mfano Jokete ni mrembo, jee kuna ubaya wowote kumsifia Jokate ni mrembo?.

Nimeuliza hili swali kufuatia kuangalia ITV matangazo ya moja kwa moja, mubashara, ya Tuzo za I Can, zinazotolewa na Reginald Mengi kupitia Taasisi yake ya Reginald Mengi Foundation, inayowasaidia watu wenye ulemavu, mgeni rasmi ni kiongozi fulani mwanamke, ana jicho hilo!.

Paskali.
Nami nijiunge na Watanzania wenzangu wote wapenda macho, kumtakia Happy Birthday Mtanzania mwenzetu mmoja aliyejaaliwa jicho kama lilivyotajwa kwenye uzi huu.
Happy Birthday!.

P
 
Mama akitabasamu ana mwanya fulani hivi amazing achilia mbali macho malegevu, pua yake mchongoko 😍 ambao waliwahi fanya nae kazi hapo nyuma ni mashahidi wa hili..

D5778891-D3D8-467E-BFFB-857192A1087B.jpeg
 
Mama akitabasamu ana mwanya fulani hivi amazing achilia mbali macho malegevu, pua yake mchongoko 😍 ambao waliwahi fanya nae kazi hapo nyuma ni mashahidi wa hili..

View attachment 2097551
Haya mambo ya kuweka picha za waheshimiwa kuzungumzia macho, sio fresh, ni ukosefu wa heshima!.
Mama kama mama, maddam President macho mashaaalah.

View attachment 2097594
Haya mambo ya kuweka picha za waheshimiwa kuzungumzia macho, sio fresh, ni ukosefu wa heshima!.
P
 
Back
Top Bottom