Ijumaa Ndo hii.. Wapi Wadau?

adakiss23

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
4,477
4,270
Binafsi Najongea Kwa Mbowe Kuruka Majoka Dah kitambo sana sijaenda mitaa hiyo. Je ww uko wapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Binafsi Najongea Kwa Mbowe Kuruka Majoka Dah kitambo sana sijaenda mitaa hiyo. Je ww uko wapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

nipo bata centre....hakuna lalamiko hata moja mpaka sasa.....
 
Nipo uwanja wa fisi hapa, natikisa kopo langu la komoni;huku nikiburudishwa na Ndombolo!.
 
me uswazi hapa kuna kigodoro nashuhudia nyonga safi kabisaaa
 
Nyie watu hamlali? Au nyie ndo nimewaona mnawanga makaburi ya kinondoni jana usiku wa manane kisha mnasingizia mko ulinzi shirikishi? King'asti jibu hoja kwa niaba ya wenzio.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…