Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Ijumaa Kuu ya Pasaka ni mwiko /marufuku watu kula nyama kwani ni siku maalum ambayo Bwana wetu YESU Kristo aliteswa msalabani kwa dhambi zetu sisi wanadamu.
Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).
Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta.
Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.
Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.
Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...
Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.
Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).
Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta.
Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.
Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.
Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...
Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.
Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app