Ijumaa Kuu ya Pasaka nimeona jamaa wanatafuna nyama, tena 'mdudu'

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Ijumaa Kuu ya Pasaka ni mwiko /marufuku watu kula nyama kwani ni siku maalum ambayo Bwana wetu YESU Kristo aliteswa msalabani kwa dhambi zetu sisi wanadamu.

Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).

Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta.

Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.

Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.

Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...


Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.

Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mahali kwenye maandiko panasema mtu asile nyama ijumaa kuu.

Haya ni mapokeo tu ya kikanisa. Ni nadhani ina maana rahisi tu kueleweka.

Kama tujuavyo nyama ni kitu inatumiwa kwenye sherehe/sikukuu sehemu mbali mbali duniani. Yani watu mtu za kukaa mwaka hajala nyama ila siku ya sikukuu atajitahidi apate kitoweo.

So kwakuwa Ijumaa kuu ni siku ambayo wakristu hukumbuka mateso na kifo cha bwana wao Yesu, kwao ni kama siku ya majonzi na kula nyama itakuwa ni kama kusherekea wakati sio siku ya kusherekea ni siku ya huzuni.
 
Nadhani kutokula nyama Ijumaa kuu ni mapokeo ya kidini ambayo yamezoeleka lakini katazo halipo kwenye Biblia
Tatizo lako ni kufikiri biblia ndio muongozo pekee. Hadi karibia karne ya 4 Wakristo hawakuwa na biblia! Hivyo heshimu maelekezo ya Kanisa na kama huyaelewi tafuta facts!

Hiyo biblia unayoitaja ni sehemu ya kazi za Kanisa kama ilivyo hiyo amri iliyowekwa na Kanisa! Mwenye kusoma hili na afahamu!
 
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Ijumaa Kuu ya Pasaka ni mwiko /marufuku watu kula nyama kwani ni siku maalum ambayo Bwana wetu YESU Kristo aliteswa msalabani kwa dhambi zetu sisi wanadamu.

Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).

Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta...


Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.

Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.

Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...


Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.

Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Tuache kufuata dini kwa mkumbo,ifikie mahali tujifunze kwa undani sisi wenye juu ya imani zetu bila kukaririshwa.Wapi wapi katika maandiko matakatifu imekatazwa kula nyama ijumaa kuu.Kwanza hata kitu ijumaa kuu hakipo kwenye maandiko matakatifu.Ila waamini wa Bwana wanaiita ijumaa kuu kwa sababu tendo kuu la Bwana kuufia ulimwengu ndo lilifanyika.Hivyo ni siku kubwa sana kwa wamini wa Bwana.
 
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Ijumaa Kuu ya Pasaka ni mwiko /marufuku watu kula nyama kwani ni siku maalum ambayo Bwana wetu YESU Kristo aliteswa msalabani kwa dhambi zetu sisi wanadamu.

Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).

Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta...


Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.

Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.

Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...


Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.

Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sema kwa mujibu wa Wakatoliki sio Biblia.Hakuna andiko lililokataza Wakristo kula nyama siku ya Ijumaa kuu.Unapaswa kujua kuwa Yesu aliteswa mara moja na hato teswa tena. Kulia au kuomboleza siku ya Ijumaa kuu ni mafundisho ya kupotoka.Siku ya Ijumaa kuu ni siku ya kutafakari wokovu (Ushindi)tulioupata kutoka kwa Yesu Kristo.

Ni vema siku km ya leo ukafunga kula kabisa vyakula vyote na sio kufunga kula nyama,ili upate muda muafaka kutafakari neno la Mungu.

Nazani ulichopaswa kuwashangaa si kula nyama bali ni kuwashangaa kwanini hawajafunga.
 
Tuache kufuata dini kwa mkumbo,ifikie mahali tujifunze kwa undani sisi wenye juu ya imani zetu bila kukaririshwa.Wapi wapi katika maandiko matakatifu imekatazwa kula nyama ijumaa kuu.Kwanza hata kitu ijumaa kuu hakipo kwenye maandiko matakatifu.Ila waamini wa Bwana wanaiita ijumaa kuu kwa sababu tendo kuu la Bwana kuufia ulimwengu ndo lilifanyika.Hivyo ni siku kubwa sana kwa wamini wa Bwana.
Si lazima kila kitu kiandikwe kwenye biblia. Kanisa si kazi ya kitabu "bible" bali Bible ni moja ya kazi za Kanisa! Ni Kanisa liloamua Bible kuwa mafundisho rasmi ya Kanisa!

Ni hilo hilo Kanisa lililoamua ijumaa kuu usile nyama! Kama huelewi logic ya kanisa ya kutokula nyama ijumaa kuu uliza! Ila kama bado una akili ya kila kitu kiwe na nukuu ya Bible basi ujue bado una safari ndefu hata kama una nena kwa lugha
 
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Ijumaa Kuu ya Pasaka ni mwiko /marufuku watu kula nyama kwani ni siku maalum ambayo Bwana wetu YESU Kristo aliteswa msalabani kwa dhambi zetu sisi wanadamu.

Ni ujinga fulani wa Yuda Eskalioti aliyerubuniwa na vipande vya sarafu (pesa).

Ijumaa Kuu ni siku ambayo Bwana Yesu alimwaga damu msalabani, na umauti ukamkuta...


Nyama hairuhusiwi kuliwa siku ya Ijumaa Kuu. Ni mwiko yaani.

Nimeshangaa sana nimeona jamaa wanakunywa beer , wanakula na minyama wamejaza kwenye masinia makubwa (mlima) kabisa bila haya. Na mbaya zaidi wanakula kitimoto yaani nguruwe. Ni hapa Moshi, Kilimanjaro.

Hiyo nguruwe ilikuwa imekaushwa vizuri sana , mikachumbari mingi sana, ndizi za kutosha na pilipili na kukata ile...


Tuache dharau mbele ya Mwenyezi Mungu. Haifai.

Anyway kila mtu ataubeba msalaba wake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ebu leta ushahid wa kimaandiko unaosema usile nyama siku ya ijumaa kuu.

Kuna mambo tumeyafanya kama tamaduni zetu tu wanadam lakin ukwel hakuna sehem biblia inayataja
 
Back
Top Bottom