Wewe sio mkristo achana na imani za watuBaadaya ya Ijumaa Pasaka hufuata! Our principle in our church kwamba Ijumaa Kuu ni siku ya kunywa na kula pamoja na kushangilia kwani ni siku ya ukombozi hivyo hakuna haja ya kulia au kuhuzunika.
Nawasilisha!
Wewe ni mmoja ya watu wanaoiba rasilimali za nchi hii kwa kupotezea watu muda waoMkuu Yupi ni Mkristo wa kweli? huwezi jua mkristo wa kweli kwa kwenda kanisani! Bali maneno na vitendo.
Baadaya ya Ijumaa Pasaka hufuata! Our principle in our church kwamba Ijumaa Kuu ni siku ya kunywa na kula pamoja na kushangilia kwani ni siku ya ukombozi hivyo hakuna haja ya kulia au kuhuzunika.
Nawasilisha!