Toyota Coaster Bora ni Second Generation(Box Body) na third generation (Coaster Mayai). Unakutana na injini Kama 3B,13B,14B,15B-T,1HZ,1HZ-T na 1HD-T.
Na baadhi zilikuwa na Air suspension hizo box body na Mayai, Bujibuji nakumbuka miaka ya 2000-2008 njia ya Mbeya-Tukuyu-Kyela ilikuwa na Coaster nyingi zenye air suspension zilikuwa zimenyanyuliwa nyuma ilikuwa ni mbio za kutisha na njia ya Tukuyu Ina Kona Kali na ukungu, hizo 1HD-T zilipiga Sana chini hiyo njia kutokana na madereva kukimbia Sana.
Za serikali na zile za geita ni very very basic , hizi alizopost Bujibuji inaeza hata kufikia miaka 10 ndo zije kama mtumba.Naona hapa bongo mpaka sasa wanazo serikali tu, na kuna nyingine niliziona Geita nadhani ni za mgodi au makampuni yenye tenda GGM.
Hizo si bei za Yutong mkuu?Ni USD 135'000/ Hadi 139'100/-
Exchange rate ya leo ni 2319.00
Hivyo Basi, kwa hela ya Tanzania ni Kati ya 313,065,002.61 na 322,572,902.69
Happy hujaweka gharama za kuipandisha melini, bima, ushuru wa bandari na Kodi mbalimbali
Nissan civilian haina ubora wa coaster , ila rosa ni imaraHuu uthibitisho wa Nissan Civilian ni gari mbovu, au Mitsubishi Rosa sio imara mmeutoa wapi?
Kwahiyo solution ni kubaki na gari la miaka 20 nyuma?Nasikia umeme mwingi sana.. kwa shugli zetu hizi nyingi inaweza sumbua..
Hizi bei zinaweza kuwa ni zile za luxury version which ticks all the boxes.Hizo si bei za Yutong mkuu?
Au ulisoma vibaya?
Mkuu, marekebisho kidogo. Kuna baadhi ya engine hapo haziko sokoni siku nyingi saana. Pia 1HZ-T haijawahi kutengenezwa. Ni 1HD-T ambayo ndio turbocharged 1HZ. Pia iliacha kutengenewa 1995 ikawa replaced na 1HD FT ambayo baadae ikaja 1HD FTE. 1HZ ndio inapeta bado mpaka sasa.View attachment 1727187
The fourth Generation Toyota Coaster ilitambulishwa rasmi mnamo tarehe 22 December 2016 na kuwekwa sikoni Japan kwa ajili ta mauzo tarehe 23 January 2017.
Gari hii inapatikana ikiwa na aina za injini zilezile za matoleo ya machaguo ya model zilizopita ambazo ni 3B,13B,14B,15B-T,1HZ,1HZ-T na 1HD-T.
Za serikali na zile za geita ni very very basic , hizi alizopost Bujibuji inaeza hata kufikia miaka 10 ndo zije kama mtumba.
Sidhani kama amesema ni mbovu. Ameongelea suala la bei tu. Sema kwa uzoefu wangu, Civilian hasa za kuanzia 1999 zinachoka haraka zikitumika kwa shughuli ya daladala kulinganisha na Coaster. Pia upatikanaji wa vipuli vya Coaster ni rahisi zaidi kuliko CivilianHuu uthibitisho wa Nissan Civilian ni gari mbovu, au Mitsubishi Rosa sio imara mmeutoa wapi?
That's why tuko hapa kurekebishana ongeza maarifa hommieMkuu, marekebisho kidogo. Kuna baadhi ya engine hapo haziko sokoni siku nyingi saana. Pia 1HZ-T haijawahi kutengenezwa. Ni 1HD-T ambayo ndio turbocharged 1HZ. Pia iliacha kutengenewa 1995 ikawa replaced na 1HD FT ambayo baadae ikaja 1HD FTE. 1HZ ndio inapeta bado mpaka sasa.
Sasa hivi engine common kwa Toyota Coaster ni N04C ambayo ina cc4000 ni turbocharged inatumika saana kwa masoko yanayobana saana mambo ya emission, na 1HZ kwa masoko kama yetu.
Ni kweli kabisa mkuu.That's why tuko hapa kurekebishana ongeza maarifa hommie
HakikaNi kweli kabisa mkuu.
Bei ya YutongNi USD 135'000/ Hadi 139'100/-
Exchange rate ya leo ni 2319.00
Hivyo Basi, kwa hela ya Tanzania ni Kati ya 313,065,002.61 na 322,572,902.69
Happy hujaweka gharama za kuipandisha melini, bima, ushuru wa bandari na Kodi mbalimbali
Durability je?Bei ya Yutong
Google MzeeAisee ni nzuri hivi ukitaka mtumba kwa sasa unaweza pata kwa bei gani bila kodi?
Bado za moto hIzo , sijaziona hata be fowardAisee ni nzuri hivi ukitaka mtumba kwa sasa unaweza pata kwa bei gani bila kodi?