Ijue Top 10 ya nyama pendwa duniani

Ijue Top 10 ya nyama pendwa duniani

Namba Moja ndio penyewe.

Waarabu wanakula sana mdudu sema wanajificha.

Hata waarabu wa kimatumbi nao wanatafuna sana mdudu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli nakubaliana na wewe

Ng'ombe ina zaa kama mtu, kwa mwaka ni mara 1 hakafu ni single offspring ukibahatika kupata dual labda zari.

Ukuaji wa ng'ombe huchukua muda mrefu na wenye gharama kubwa zaidi kumzidi inspekta.

Ng'ombe kabla ya kumchinja ataku offer maziwa, hivyo sababu ya kumchinja inazidi kushuka kwasababu kuna kitu kingine unazidi kukipata akiendelea kuwa hai.

Lakini inspekta yeye yupo specialized kwa ajili ya msosi tu

Pamoja na hayo yote tukija kwenye utamu bado ng'ombe kwa nspekta hafui dafu.
Safi kwa taaluma hii
 
Kitimoto tamu bwana...ladha ya kuku si kuku..nyama laini?? Ukute iliyochomwa vzr salaleee
 
Namba Moja ndio penyewe.

Waarabu wanakula sana mdudu sema wanajificha.

Hata waarabu wa kimatumbi nao wanatafuna sana mdudu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Pale Dubai kuna Yacht inatoa huduma za huyo ofsa.

Watu wanapoingia pale wanaacha kanzu kwao wanakuja na majinsi ili kupoteza maboya.
 
Kusema kweli napenda kitimoto
Yani krostiwe na ugali pembeni kachumbari na parachichi
Noma sa
 
PORK.png
 
Huo n uongo haiwezekan kuna nyama zinaliwa dunia nzima ziwe namba 2 au 3 halaf iyo isiyolika baadhi ya maeneo iwe no 1 hapo tushajua lengo lenu
 
Nyama ya kuku imepigwa chini na kitimoto. Kuku anachukua namba mbili japo ni nyama yenye heshima na hadhi ya juu hususani kwa wageni na watu wanaoheshimika huandaliwa nyama ya kuku
Huyo kuku amerasimishwa na nani!? Kama Nyama ya heshima!?....

Mdudu ni ana hadhi yajuu zaidi ya hiyo hadhi yenyewe!
 
hivi yale mapepo Yesu alifukuza kutoka kwa yule mtu alikuwa Kichaa yakaingia kwa Nguruwe yalitoka? kwani sijaona tena mstari unao yaongelea kwenye Kitabu Kitakatifu
Kumbuka wale nguruwe walijitosa baharini wakafa...labda utuambie mapepo yalibaki baharini.
 
Back
Top Bottom