chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 289
Ndoa batilifu ni zile ndoa ambazo kwa mtazamo ni halali lakini uwezekano wa kuzifanya ziwe batili unakuwepo pale tu mmoja wa wanandoa anapoamua kudai iwe batili
Kwa maneno mengine wanandoa wakiamua kukaa kimya ndoa itabaki hai
SABABU ZA NDOA KUWA BATILIFU
1.kutotumia ndoa( kukosa uwezo wa tendo)
2.kukataa tendo kwa makusudi
3.magonjwa ya zinaa
4.mimba ya mtu mwingine
5.kukosekana idhini ya wazazi
VIZUIZI VYA KUBATILISHA NDOA
1. Muda maalumu sharti ndoa iwe na miaka miwili.
2. Kugundua kasoro Kama umeingia kwenye ndoa na unajua kasoro
MADAI YA TARAKA
Kuna aina mbili za utengano wa wanandoa
1.utengano wa ridhaa wanandoa wanaamua wenyewe hapa wanaweza kurudiana
2.utengano wa mahakama
SABABU ZA TARAKA
1.Uzinzi
2.Kutelekezana
3.ukatili
MAMLAKA NA UWEZO WA MAHAKAMA KATIKA TARAKA
1.Lazima mgogoro uanze kwenye Baraza la usuruhishi la dini au kata ndio baadaye lipelekwe mahakamani.
Kwa maneno mengine wanandoa wakiamua kukaa kimya ndoa itabaki hai
SABABU ZA NDOA KUWA BATILIFU
1.kutotumia ndoa( kukosa uwezo wa tendo)
2.kukataa tendo kwa makusudi
3.magonjwa ya zinaa
4.mimba ya mtu mwingine
5.kukosekana idhini ya wazazi
VIZUIZI VYA KUBATILISHA NDOA
1. Muda maalumu sharti ndoa iwe na miaka miwili.
2. Kugundua kasoro Kama umeingia kwenye ndoa na unajua kasoro
MADAI YA TARAKA
Kuna aina mbili za utengano wa wanandoa
1.utengano wa ridhaa wanandoa wanaamua wenyewe hapa wanaweza kurudiana
2.utengano wa mahakama
SABABU ZA TARAKA
1.Uzinzi
2.Kutelekezana
3.ukatili
MAMLAKA NA UWEZO WA MAHAKAMA KATIKA TARAKA
1.Lazima mgogoro uanze kwenye Baraza la usuruhishi la dini au kata ndio baadaye lipelekwe mahakamani.