Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

swali moja kwako mkuu ningependa kujua kuhusu matumizi ya mafuta ya zaituni na kazi zake
 
Nimesoma nakuelewa uzi wako mkuu mahusiano mengo yakimapenzi hayadumu huenda sababu ya nyota
Sasa itakua vigumi kuanza kumuuliza mwenzi wako mtarajiwa eti ww nyota yako niipi huenda akadhani unataka kumloga bure (japo sio wote)
Isomeke hivi mm naanzia hapa jamvini kumtafuta mwnzi wangu wanyota yangu ( mm nyota yangu mashuke au virgo) kimtazamo wanyota hapa natafuta binti mwenye nyota ya samaki mm ninaumri wa miaka 29 angalau samaki wangu asinizid tukiwa sawa au nikimzidi sio mbaya japo mapenzi hayana umri hicho kigezo kitaangaliwa pia maana sijawahi kumpata mwenye nyota ya samaki. Nifahamike kwamba sijaribu nataka iwe mahusiano makini ikibidi mapema mwakani ndoa km tutaridhiana
 
swali moja kwako mkuu ningependa kujua kuhusu matumizi ya mafuta ya zaituni na kazi zake
Zaitun ni mafuta yanayoyokana na mti wa mzeitun ambao umetajwa kwenye Qur.an pia na ni mti ambao shetani hawezi kukaa au kupita juu yake au majini yanayobeba mchawi hivyo faida za mafuta yake kwanza ni dawa ya magonjwa mengi na pia ni msaada mkubwa kwenye matatizo yoyote ya ngozi, wengine hunywa mafuta hayo na wengine hutumia kufanyia massage yana matumizi mengi.

Rakims
 
UCHAWI WA NYOTA
Sina lengo la kuanzisha uzi ndani ya uzi bali haya nitakayoyaeleza ni sehemu ya mrejesho wa uzi lengwa,na kama tujuavyo hili ni jukwaa la kupeana maarifa.
Ukitaka kuifahamu aina hii ya uchawi (NYOTA) ni lazma uwe na ufahamu wa uchawi aina ya talasimu ambayo kama utapekua utaukuta huo uzi upo hapa jamii forum ijapokua nao pia umesheheni makosa madogo madogo.
Wachawi wanaotumia talasimu wanadai kua wanapotengeneza talasimu huwa wanataka msaada kutoka katika mashetani wa kinyota. Na hawa huwa wanaabudu hizi nyota kwani wanadai kuwa nyota zina athari kwa wanaadamu pia wanasema uchawi ni muungano wa roho kwa roho , hivo muunganiko wa binaadamu na nyota hupatikana kupitia talasimu.
NYOTA ZINA KAZI TATU TU NYENGINE YOYOTE NI SEHEMU YA UCHAWI.
1: Pambo la mbingu
2: Hutumika kama GPS kuongoza watu katika maeneo wanayoyakusudia
3: Kupigiwa mashetani wanaokwenda kusikiliza habari mbiguni.
Hivo unamkuta yoyote anazungumza kuhusu nyota kinyume na hizo kazi nilizozitaja hapo juu basi jua huyo amechukua pande miongoni mwa vipande vya uchawi na atakua mshirikina tu.
 
Mbona nyota ya mizani ujasema herufi gan? Na pia zpo nyota ujasema herufi gan cjuw umeplan nn uuhh kingne herufi S co nyota ulipoiweka herufi S inasimama kwenye mizani...
 
Na hayo mawe kaka mfano opal yako tafaut iko black opal, white opal, n. K sasa mfano mizan umesema opal, opal ipi hyo
 
Na pia kaka hizo opal zpo mpaka gren opal yellow opal, yan zpo nyng em sasa eleza vzr anayepaswa kuvaa jiwe hilo mfano nmechukulia mizan maana ndo ulomtaja kwa upekee avae opal tu, je opal ipi green opal, black opal, yellow opal, white opal, n. K plz em jibu hilo
 
Vipi mwanaume SAMAKI
Mwanamke. SIMBA.

haya mahusiano yatadumu, kuna future kati yao?.
samaki hupenda kufikiria zaidi kabla ya kufanya jambo hii humfanya simba kukereka na samaki kwa sababu simba ni watu wa kufanya mara nyingi kwa kufikiria kidogo, ambapo Simba pia humuona samaki kuwa ni mtu wa kuchelewa chelewa na kuchelewesha mambo kutokana na hisia na imani zake za utulivu zaidi. nyota hizi mbili haziendani, kila moja ina utawala wake tofauti, simba moto wa mkaa wakati samaki maji ya kisima, Simba ushindani wake huwa ni mtu wa kulipuka lipuka kihasira wakati samaki ushindani wake hupenda kumaliza kwa drama zaidi. Simba hawezi kukubaliana na hisia pamoja na ndoto za samaki, kwa maana simba hutaka sana demand zake kufuatwa wakati samaki huwa hapendi kuendeshwa na demand za yoyote yule zaidi ya kupenda uhuru na huruma. simba hupenda kufoka foka hovyo na kuongea sana. wakati samaki huhitaji muda mrefu sana utulivu ustarabu na maelewano. Hizi nyota ni sawa na kuchanganya maji na moto. HAVIENDANI

Rakims
 
UCHAWI WA NYOTA
Sina lengo la kuanzisha uzi ndani ya uzi bali haya nitakayoyaeleza ni sehemu ya mrejesho wa uzi lengwa,na kama tujuavyo hili ni jukwaa la kupeana maarifa.
Ukitaka kuifahamu aina hii ya uchawi (NYOTA) ni lazma uwe na ufahamu wa uchawi aina ya talasimu ambayo kama utapekua utaukuta huo uzi upo hapa jamii forum ijapokua nao pia umesheheni makosa madogo madogo.
Wachawi wanaotumia talasimu wanadai kua wanapotengeneza talasimu huwa wanataka msaada kutoka katika mashetani wa kinyota. Na hawa huwa wanaabudu hizi nyota kwani wanadai kuwa nyota zina athari kwa wanaadamu pia wanasema uchawi ni muungano wa roho kwa roho , hivo muunganiko wa binaadamu na nyota hupatikana kupitia talasimu.
NYOTA ZINA KAZI TATU TU NYENGINE YOYOTE NI SEHEMU YA UCHAWI.
1: Pambo la mbingu
2: Hutumika kama GPS kuongoza watu katika maeneo wanayoyakusudia
3: Kupigiwa mashetani wanaokwenda kusikiliza habari mbiguni.

Hivo unamkuta yoyote anazungumza kuhusu nyota kinyume na hizo kazi nilizozitaja hapo juu basi jua huyo amechukua pande miongoni mwa vipande vya uchawi na atakua mshirikina tu.


Kumbuka kuelewa unachozungumza na pia ni vema uwe unasoma thread na quotes zake ili uelewe zaidi nitakujibu kulingana na uelewa wako lakini sehemu nilipoweka rangi nyekundu jua pamesha zungumziwa na sehemu hiyo ipo kwenye maandiko ya Mwenyezi Mungu na Hadithi tukufu za mtume kwa waislamu.
Sasa kumbuka pia hili sio jukwaa la dini na ndio hapo mnapochanganyikiwa zaidi kuchanganya pumba na mchele ndio maana hata mkiulizwa swali mnajibu kwa majigambo na kejeli, wote waislamu na wakristo mliyomo humu jamii forum. mnashindwa kuelewa kuwa hili jukwaa nililopo lina watu gani na lina vigezo na sheria zipi za kuweza kupost hapo ulitakiwa uandike according to Qur.an au hadithi ili watu wajue jinsi ya kukuelewa usiandike kama chitchat mkuu.
Rejea suala lako husika la quote yako ya kuwa:
Hivo unamkuta yoyote anazungumza kuhusu nyota kinyume na hizo kazi nilizozitaja hapo juu basi jua huyo amechukua pande miongoni mwa vipande vya uchawi na atakua mshirikina tu.

hapa ndio nataka nikuulize swali, vyovyote atakavyo zungumzia tofauti na hivyo ndio unacho simamia?

Rakims
 
Ni kweli mkuu hili sio jukwaa la dini na wala mimi sijaongea lolote la dini. Bali unajimu ni sehemu ya Uchawi na Uchawi haujaongelewa na sayansi. Kuna tofauti kubwa kati ya astrology ambayo ndio umeiongelea wewe na Astronomy ambayo hii ndio sayansi. At the end anaeamini nyota zina athari kwa maisha ya wanaadamu hana tofauti na anaenda kwa mganga kupiga ramli tofauti kule kwenye ramli kunatumika bao na majini huku kunatumika nyota na majini.
 
Mkuu mm nilzaliwa Tarehe 8/12 sjaiona hapo kwenye orodha yako mkuu
Kumbuka kuelewa unachozungumza na pia ni vema uwe unasoma thread na quotes zake ili uelewe zaidi nitakujibu kulingana na uelewa wako lakini sehemu nilipoweka rangi nyekundu jua pamesha zungumziwa na sehemu hiyo ipo kwenye maandiko ya Mwenyezi Mungu na Hadithi tukufu za mtume kwa waislamu.
Sasa kumbuka pia hili sio jukwaa la dini na ndio hapo mnapochanganyikiwa zaidi kuchanganya pumba na mchele ndio maana hata mkiulizwa swali mnajibu kwa majigambo na kejeli, wote waislamu na wakristo mliyomo humu jamii forum. mnashindwa kuelewa kuwa hili jukwaa nililopo lina watu gani na lina vigezo na sheria zipi za kuweza kupost hapo ulitakiwa uandike according to Qur.an au hadithi ili watu wajue jinsi ya kukuelewa usiandike kama chitchat mkuu.
Rejea suala lako husika la quote yako ya kuwa:
Hivo unamkuta yoyote anazungumza kuhusu nyota kinyume na hizo kazi nilizozitaja hapo juu basi jua huyo amechukua pande miongoni mwa vipande vya uchawi na atakua mshirikina tu.

hapa ndio nataka nikuulize swali, vyovyote atakavyo zungumzia tofauti na hivyo ndio unacho simamia?

Rakims
 
Zaitun ni mafuta yanayoyokana na mti wa mzeitun ambao umetajwa kwenye Qur.an pia na ni mti ambao shetani hawezi kukaa au kupita juu yake au majini yanayobeba mchawi hivyo faida za mafuta yake kwanza ni dawa ya magonjwa mengi na pia ni msaada mkubwa kwenye matatizo yoyote ya ngozi, wengine hunywa mafuta hayo na wengine hutumia kufanyia massage yana matumizi mengi.

Rakims
mbona wengine husema hutumika kusafisha nyota je ni kweli?
 
Ni kweli mkuu hili sio jukwaa la dini na wala mimi sijaongea lolote la dini. Bali unajimu ni sehemu ya Uchawi na Uchawi haujaongelewa na sayansi. Kuna tofauti kubwa kati ya astrology ambayo ndio umeiongelea wewe na Astronomy ambayo hii ndio sayansi. At the end anaeamini nyota zina athari kwa maisha ya wanaadamu hana tofauti na anaenda kwa mganga kupiga ramli tofauti kule kwenye ramli kunatumika bao na majini huku kunatumika nyota na majini.
Kuna sehemu umeona hapo au ulishawahi kusoma sehemu kwamba majini ndio wanaohusika na nyota, na ukielewa hivyo kwamba unajimu ni kuchanganya majini na nyota na wewe ni mchawi, pia elewa maana ya neno mshirikina limezaliwa na neno Shirk na shirk ni kuabudu Mungu asiyekuwa Mungu Mmoja kama uchawi unaita ushirikina basi utajikuta na ushirikina unaita uchawi hapo ndio madhehebu yanapofufukia

Rakims
 
Watu huamini uchawi ndio huchafua nyota yani mtu akilogwa nyota inakuwa imechafuka jibu ni hapana nyota na uchawi ni vitu viwili tofauti

Rakims
mbona wengine husema hutumika kusafisha nyota je ni kweli?
 
Na pia kaka hizo opal zpo mpaka gren opal yellow opal, yan zpo nyng em sasa eleza vzr anayepaswa kuvaa jiwe hilo mfano nmechukulia mizan maana ndo ulomtaja kwa upekee avae opal tu, je opal ipi green opal, black opal, yellow opal, white opal, n. K plz em jibu hilo

Opal ninayoizungumzia ni hii mkuu, mengine yote maswali yako nimeupdate kwenye thread hapo
1114662
 
Back
Top Bottom