Kwa Nini?
Punda na Mashuke ni nyota haziendani mkuu zaidi ya kupotezea muda na kila mtu kuwa na mtizamo wake kimaisha bila kujali wa mwingine ni mtihani kwa wawili hawa kuwa pamoja kwa maana spidi na moto alionao Punda nyota pekee inayoweza kwenda nae ni MizaniMkuu rakims shukrani Sana kwa kujitoa na kutupa elimu mm Nina swali kdgo nyota yangu ni punda lkni hpo mwanzo nilikuwa naishi na mwanamke mwenye nyota ya simba mambo yangu yalikuwa c haba nilikuwa vzri sana ikaja tukashindwana nikaja pata jiko lingine lkn yeye kazaliwa tarehe 8 September tangu ninekuwa nae ni mtihani sana mambo yamekuwa doro vbya mnoo nimefanya tafiti naambiwa bibie nyota zetu hazipo sawa na haziendani je hili linaukweli wa hizi nyota ztu kutoendana?
Habari mkuu tembeleaMimi ningependa kueleweshwa, namba za bahati zina maana gani na zinatumikaje?
Mkuu ungeweka namba ili mwenye Maelezo na shida private akucheki kuna watu wengine hawawezi kuweka majina yao halisi hapa wala ya mama zao wala sehemu walizozaliwa kwa sababu za kiufundi.Uchambuzi wa nyota unataka ufasaha wa kueleweshwa na mtu ambaye ni fasihi mzuri katika kuelezea nyota mkuu,
Sio kila mtu anaweza kuelezea nyota yake au kuelezea za wengine kwa ufasaha inataka elimu ili kuweza kuelimishwa
Rakims
Unaweza kuwasiliana nami kupitia WhatsApp number 0783930601Mkuu ungeweka namba ili mwenye Maelezo na shida private akucheki kuna watu wengine hawawezi kuweka majina yao halisi hapa wala ya mama zao wala sehemu walizozaliwa kwa sababu za kiufundi.
Jaribu kuwapa kipaumbele tafadhali.
Mkuu haijarishi mnapendana kiasi gani kama nyota haziendani mtaishia kupenda rohoni tu na nje mtakuwa ni wenye kuonyesha maumivu ya mapenzi na kukosa maelewano kila linapoisha hili utaona limeanza hili.Rakims
Mpenz wangu ana nyota ya punda 13/04
Mie ninanyota ya mbuzi..nini hatima ya mahusiano yetu..
Tunatofautiana imani...yeye muislam mie mkristo kwangu sio tatizo ila kwa upande wake anahofia familia yake..hili jambo lina muumiza sana
Japo tunapendana na ni mwanamke niliye na hisia nae sana..ushauri mkuu
Mkuu hiki kipengere kwake ni tofauti kabisa..sio mtu wa kupenda pesa na haitaji kabisa nitumie pesa hovyo kwake.Shida pia huibuka kwenye maswala ya pesa - Kwenye pesa anaonekana ni mwenye matumizi ya kupindukia, hali ya kuwa wewe unakuwa ni mwenye nia ya usalama wa kipesa.