Self esteem hujaa na kupungua kwa mtindo wa betri ya simu % (100, 99,98....0%). Ukitizama movie, mpira au siasa ikakufurahisha unakuwa umeboost self esteem% mfano kutoka 30% to 70%.
Kingine.
U can trick mind yako ikajijaza self esteem kwa njia ya kuandika, na ku tick task zako za kila siku. Task yeyote iliyo Kamilika ina boost self esteem na self confidence, yafutayo pia huongeza.
*kufanya jambo gumu
* Kujitanguliza wew kwanza
*Kujifunza kusubiri kuhitajika na ndio ufanya jambo, Sio kujishobokesha na watu wasikupe attention. Sense ya uthamini wako.
- Mazoezi, na utimamu wa mwili. Zile happy hormones zinazo tiririshwa zina boost na kuondoa stress hormones.
- Ishi maisha ya ukweli, sio ya uongo uongo, huku nafsi yako ikatafsiri kuwa huu ni uongo uongo.
- Kujijengea mindset ya wew unatosha, sio challenge kidogo una ruka kuomba msaada wa watu, workmates. Challenge yourself then timiza usiishie njiani anza na zile ndogo ndogo.
*Reach out wenye uhitaji wasio jiweza, ongeza thamani kwaooo utaona matokea yake, Ile sense ya ku add value kwa mtu.
*Expose ktk mazingira ya wew kuhudumiwa. Chana wallet nenda hata hotel kubwaaa, ile kuja kusikilizwa, kuhudumiw, kuvutiwa kiti, kufunguliwa mlango, Subconsciously ina add kitu kikuwa sanaa. Fanya hivo regularly.
*Kikombe chako, kitanda chako, glass yako, nguo zako unazo vaaa, Mazingira ya home, yapandishe hadhi au yaweke smart like mimi ni king au Queen na hapa ndio throne yangu.
*Set standards, mimi siruhusu mtu anifanyie hivi, mimi ni wa hivi, kuwa na Philosophy zako na kanuni zako za maisha kisha zifatee.
* Affirm kila siku wewe ni wa muhimu, thamani.
*Kuwa na imani kubwa , MUNGU ni upendo na anakupenda,hata ufanyeje. Personalize mahusiano yako Na MUNGU, like he is my GOD
Hizi ni chache.