Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,560
- 217,861
Hii hapa
Kazi ipo
Hao vijana gani unaowaulizaa?Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Binadamu yeyote asiye na aibu hana tofauti na wanyamaMimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Binadamu yeyote asiye na aibu hana tofauti na wanyama
unaleta uongo humu kisa unatoka Geita !Nimekukosea nini ndugu
Hao vijana gani unaowaulizaa?
Je huwa unawauliza fairly au huwa unawaforce wanafunzi wa darasani kwako wakuambie hivyo unavyotaka?
unaleta uongo humu kisa unatoka Geita !
Watu msio na maana kama ninyi ndo mnaifanya JF idharaurike.Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Wewe nawe unashangaza kila mada mada siyo mwanachamaMimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Mkuu, usi-force wote tuwe na akili kama yako, kama ww huwez kumpgia kura bc kuna wengine watampgiaHao vijana gani unaowaulizaa?
Je huwa unawauliza fairly au huwa unawaforce wanafunzi wa darasani kwako wakuambie hivyo unavyotaka?
Watu msio na maana kama ninyi ndo mnaifanya JF idharaurike.
takataka zingine usijibu, actually unapiga spana, block indefinitely!Binadamu yeyote asiye na aibu hana tofauti na wanyama
Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura
Nani anaipenda acha uwongo?? Wewe kachukue 7000 yako tu
Huyo ni fwafwa Fulani wala usihangaike naye. Ukiona watu wanaanzisha thread za kufikirisha halafu linajitokeza dubwashika na comment ile ile kila thread ujue kichwani hapana tofauti na chini.unaleta uongo humu kisa unatoka Geita !