baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 13,174
- 15,164
Ukishakua rais baada ya Uchaguzi raha ya urais uzunguke mikoani uonane na ali ya wapiga kura wako waliokuchagua kwa kishindo kwa 98% kuona ali zao kuzungumza nao kutoa shukrani. Muheshimiwa Rais ni mda wa kuzunguka na wewe mikoani kuona ali za wapiga kura wako kusikiliza matatizo yao .
Unatupa wasi wasi kama umechaguliwa na 98 %sasa mbona huendi mikaoni kusalimiana na wapiga kura wako wananchi kufurahia kwa pamoja zamani CCM Rais akienda sehemu mkoa unachangamka wa kufanya biashara wanafanya wewe mekua kimya kunani? Unatupa mashaka
Unatupa wasi wasi kama umechaguliwa na 98 %sasa mbona huendi mikaoni kusalimiana na wapiga kura wako wananchi kufurahia kwa pamoja zamani CCM Rais akienda sehemu mkoa unachangamka wa kufanya biashara wanafanya wewe mekua kimya kunani? Unatupa mashaka