Ijue Familia ya Kabila Katika Picha!

Ijue Familia ya Kabila Katika Picha!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,150
<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
kabila_ldk_mama_sifax300.jpg

</dt></dl>













<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
</dt></dl>




Mzee Laurent Desire Kabila na mkewe Sifa Mahanya enzi zao

ltvSearch-Kabila-family-1.jpg


Hapa ni Joseph na pacha wake Janet kabila na wadogo zao

ltvSearch-Kabila-family-6.jpg

Hapa Joseph na MZEE



joseph_kabila_family.jpg


Rais kabila(kulia kabisa waliosimama)katika picha ya familia wakiwa na mama sifa mahanya(mama yao)


ltvSearch-Kabila-family-2.jpg

Hapa Joseph na Mama yake mzazi Mjane wa mzee Laurent Desire Kabila,mama Sifa Mahanya.

ltvSearch-Kabila-family-5.jpg


Rais Joseph Kabila mama yake Sifa Mahanya na member wengine wa familia nyumbani kwa mama!






Rais Kabila na mkewe siku ya harusi yao








Rais Kabila akiingia mama yake siku ya harusi

zoe-kabila1.jpg


Zoe Kabila(mdogo wa rais kabila)




Janet Kabila(pacha wa joseph)



Siku ZOE KABILA nae alipouaga ukapera 15/10/2011
nita_zoe_bourgmestre.jpg

ZOE KABILA na mkewe siku ya harusi na mkewe NITA

famille.jpg

Joseph Kabila,mkewe(first lady)Olive Kabila,bibi harusi wa zoe,
Zoe Mwenyewe na mama SIFA Mahanya(blue)katika picha ya
kumbukumbu ya harusi ya Zoe.


LAURENT KABILA'S,Joseph,Jannet & Zoe!
Jaynet-Kabila-et-Zoe-Kabila-deux-nouveaux-Honorables-tres-speciaux_full_article.jpe
 
mazee tumewafurahia sana....! hivi riziwani na mwanaasha wanaweza kupewa nchi kweli kama joseph..?
 
haitusaidii lbda kama umewaandikia wakongo wanaoperuzi JF
 
Joseph siyo mtoto wa Laurent wa kuzaa (not biological son)...!
 
Du kim umetishaaa,je wewe ni mwanachama wa si en de de ef de de(CNDD-FDD)?
 
Mkuu naomba tu kufahamu ,hizo picha za mwanzo zimepigwa mwaka gani na ilikuwa sehemu gani maana sie wengine tunasikia tu kuwa miaka ya 80,s hawa watu walikuwa wakiishi msasani sijui kama ni kweli , na kwa wana historia naomba kufahamu kulikuwa na uhusiano gani kiharakati kati ya mzee Kabila na che Guevara..
 
Hapo ndipo imejionyesha kabisa kuwa Joseph kabila sio mtoto wa Mzee Kabila na Pia Imeonyesha kabisa kuwa Kabila ni Mtutsi
 
<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
kabila_ldk_mama_sifax300.jpg

</dt></dl>













<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
</dt></dl>




Mzee Laurent Desire Kabila na mkewe Sifa Mahanya enzi zao

ltvSearch-Kabila-family-1.jpg


Hapa ni Joseph na pacha wake Janet kabila na wadogo zao

ltvSearch-Kabila-family-6.jpg

Hapa Joseph na MZEE



joseph_kabila_family.jpg


Rais kabila(kulia kabisa waliosimama)katika picha ya familia wakiwa na mama sifa mahanya(mama yao)


ltvSearch-Kabila-family-2.jpg

Hapa Joseph na Mama yake mzazi Mjane wa mzee Laurent Desire Kabila,mama Sifa Mahanya.

ltvSearch-Kabila-family-5.jpg


Rais Joseph Kabila mama yake Sifa Mahanya na member wengine wa familia nyumbani kwa mama!






Rais Kabila na mkewe siku ya harusi yao








Rais Kabila akiingia mama yake siku ya harusi

zoe-kabila1.jpg


Zoe Kabila(mdogo wa rais kabila)




Janet Kabila(pacha wa joseph)

Mkuu Kim, hujawaonyesha wala kuwataja dada zake Sisi na Ceci, ndo kusema hawana uhusiano na Rais J. Kabila?
 
mi nmependa hiyo aliyopiga na mzee halafu mkono akaweka mbele ili saa ionekane.
 
DUH;;;kweli maisha safari ndefu,,mdau tunnashukuru kwa picha,,za black and white,,,
 
Mkuu naomba tu kufahamu ,hizo picha za mwanzo zimepigwa mwaka gani na ilikuwa sehemu gani maana sie wengine tunasikia tu kuwa miaka ya 80,s hawa watu walikuwa wakiishi msasani sijui kama ni kweli , na kwa wana historia naomba kufahamu kulikuwa na uhusiano gani kiharakati kati ya mzee Kabila na che Guevara..

Che Ernesto Guevara alikuwa mmoja wa watumwa wa kikomunisti. Alihitimu digree ya Udactari lakini hakuifanyia kazi bali yeyey alitaka kuleta mapinduzi ya kikomunisti duniani kote. Alichukia dhehebu ya kikatoliki na christianity ingawa yeyey alikulia katika familia ya kikatoliki. Hivyo alitaka pia kufuta ukristo kwa kutumia umwamba wa kikomunisti wa kumlazimisha binadamu kufanya kama mabosi wake watakavyo.

Alikuja Kigoma kukutana na Laurent Kabila mwaka 1967 ili kuanzisha kikosi cha waasi wa kikomunisti watakao enda kumpindua Mabutu. Lakini Kabila alifikiria mbali sana na alikataa kukutana nae. Hivyo Guevara alirudi kwao bila kukutana na kabila. Uhusiano wa kabila na guevara upo kwenye siasa za kinyama na za kidhalimu za kikomunisti.

wazaire walifanya jambo la maana sana kummalizia mbali Lumumba. Maana Lumumba alikuwa mkomunisti aliyekubuhu na graduate wa kirusi. Hivyo wangemwachia tuu atwae nchi basi ile sera za kikomunisti za kugawana umasikini zisingewasaidia wanamuziki waliotajilika kupita kiasi kama kina Lwambo, Tabu ley, Verkiz,Pepep Kale na Kina Lovii Longomba. wakomunisti huwa wanwafutia hati miliki wanamuziki wao na hawajengi viwanda vya santuli ili kuwabana wanamuziki wasitajilike kirahisi. Ukomunisti kweli ulikuwa ni Unyama uliokubuhu!
 
Mkuu Kim, hujawaonyesha wala kuwataja dada zake Sisi na Ceci, ndo kusema hawana uhusiano na Rais J. Kabila?

Kwanza kabisa nimekerwa na bloger mmoja anaiita blog yake chinga blog sijui,jamaa kachukua picha nilizoziweka hapa kama zilivyo na kutengeneza story yake eti kaalbum kadogo ka familia ya kabila bila hata kutaja alikopata hiyo idea pamoja na picha....!bloger kuweni wabunifu au mkitumia ubunifu wa wengine si vibaya kuwataja,ukiitaja jf inatosha si lazima umtaje kim.

Kuhusu suala lako mzee hao uliowata wapo kwenye picha hii,sema vilikua vitoto sana..


r
pix.gif


<tbody>
[TD="width: 477"]
vêtements faits de raphia et d'écorces.
<dl class="spip_document_3589 spip_documents spip_documents_center"><dt>
enfants_kabila_mama_sifa.jpg
</dt></dl>


joseph_kabila_family.jpg


[/TD]

</tbody>

<dl class="spip_document_3589 spip_documents spip_documents_center"><dd style="width: 350px;" class="spip_doc_descriptif">Arrière plan : Tetia, Anina, Jaynet Kabila Kyungu, Joseph Kabila Kabange
Umaneo Josephine Kabila, Cecile Mafika Kabila, Maman Sifa Mahanya portant Zoé Kabila sur ses genoux, Fifi Kabila et Selemani </dd></dl>
 
Adrien-Kanambe-et-son-fils-Hyppolite-alias-Joseph-Kabila.jpg



Laurent_Desire_KABILA_et_Adrien_KANAMBE__droite__pere_de_Joseph_KABILA_.jpg


Anaeelezwa kuwa baba mzazi wa Joseph kabila ni huyu mwanajeshi wa zamani wa kitutsi ambae alikimbilia congo baaada ya itawala wa kwatutsi kuangushwa na wahutu huko rwanda.Anaitwa Adrien Kanambe.
 
Muongo mkubwa weeee.....
Che Ernesto Guevara alikuwa mmoja wa watumwa wa kikomunisti. Alihitimu digree ya Udactari lakini hakuifanyia kazi bali yeyey alitaka kuleta mapinduzi ya kikomunisti duniani kote. Alichukia dhehebu ya kikatoliki na christianity ingawa yeyey alikulia katika familia ya kikatoliki. Hivyo alitaka pia kufuta ukristo kwa kutumia umwamba wa kikomunisti wa kumlazimisha binadamu kufanya kama mabosi wake watakavyo.

Alikuja Kigoma kukutana na Laurent Kabila mwaka 1967 ili kuanzisha kikosi cha waasi wa kikomunisti watakao enda kumpindua Mabutu. Lakini Kabila alifikiria mbali sana na alikataa kukutana nae. Hivyo Guevara alirudi kwao bila kukutana na kabila. Uhusiano wa kabila na guevara upo kwenye siasa za kinyama na za kidhalimu za kikomunisti.

wazaire walifanya jambo la maana sana kummalizia mbali Lumumba. Maana Lumumba alikuwa mkomunisti aliyekubuhu na graduate wa kirusi. Hivyo wangemwachia tuu atwae nchi basi ile sera za kikomunisti za kugawana umasikini zisingewasaidia wanamuziki waliotajilika kupita kiasi kama kina Lwambo, Tabu ley, Verkiz,Pepep Kale na Kina Lovii Longomba. wakomunisti huwa wanwafutia hati miliki wanamuziki wao na hawajengi viwanda vya santuli ili kuwabana wanamuziki wasitajilike kirahisi. Ukomunisti kweli ulikuwa ni Unyama uliokubuhu!
 
Anaeelezwa kuwa baba mzazi wa Joseph kabila ni huyu mwanajeshi wa zamani wa kitutsi ambae alikimbilia congo baaada ya itawala wa kwatutsi kuangushwa na wahutu huko rwanda.Anaitwa Adrien Kanambe.

kama hizi picha hazijachakachuliwa basi leo ndio tunafunga rasmi mjadala wa baba mzazi wa jose hapa jf. Huyu ni baba yake mzazi na tena mzee alikuwa na damu kali sana
 
Nimewahi kusikia kuwa hata mkuu wa majeshi uganda ni mjomba wa kabila na wote ni watutsi mamake kabila alilithiwa na loura baada ya kanambe kuuawa na tayar aikuwa na watoto ndio joseph na janet mwenye gorofa kubwa pale kariakoo
 
Back
Top Bottom