babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,068
- 15,924
Huyu hapa kwenye picha si Joseph Kabila. Angalia masikio yake na pua kwa makini.
hapo mshale ulikosea joseph kabila ni huyo watatu kulia pembeni ya kagame
Huyu hapa kwenye picha si Joseph Kabila. Angalia masikio yake na pua kwa makini.
<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
</dt></dl>
<dl class="spip_document_3158 spip_documents spip_documents_left" style="float: left;"><dt>
</dt></dl>
Mzee Laurent Desire Kabila na mkewe Sifa Mahanya enzi zao
Hapa ni Joseph na pacha wake Janet kabila na wadogo zao
Hapa Joseph na MZEE
Rais kabila(kulia kabisa waliosimama)katika picha ya familia wakiwa na mama sifa mahanya(mama yao)
Hapa Joseph na Mama yake mzazi Mjane wa mzee Laurent Desire Kabila,mama Sifa Mahanya.
Rais Joseph Kabila mama yake Sifa Mahanya na member wengine wa familia nyumbani kwa mama!
Rais Kabila na mkewe siku ya harusi yao
Rais Kabila akiingia mama yake siku ya harusi
Zoe Kabila(mdogo wa rais kabila)
Janet Kabila(pacha wa joseph)
Siku ZOE KABILA nae alipouaga ukapera 15/10/2011
ZOE KABILA na mkewe siku ya harusi na mkewe NITA
Joseph Kabila,mkewe(first lady)Olive Kabila,bibi harusi wa zoe,
Zoe Mwenyewe na mama SIFA Mahanya(blue)katika picha ya
kumbukumbu ya harusi ya Zoe.
LAURENT KABILA'S,Joseph,Jannet & Zoe!
hypolite kanambe a.k.a. joseph kabila si mtoto wa mama sifa mahanya,baba yake ni mtutsi na alikua rafiki mkubwa wa kabila
kipindi LD kabila anauwawa,mama sifa mahanya alikua jela akitumikia kifungo baada ya kumuwekea sumu LD kabila ikagundulika,so siku LD kauawa na madaraka kuhamishiwa kwa aliyeitwa mwanae joseph mama sifa alitolewa kifungoni akaandaliwa na kupelekwa kwenye sherehe za kuapishwa joseph kisha ikabatizwa kwamba ndio mamaake mzazi.
kuna mchezo mchafu sana unachezeka kwenye siasa za afrika hasa hapo kati D.R.C.iko siku haya yote yatajulikana tu maana michezo hiyo wazungu ndio wanaipanga kisha wanacheka kwa nyuma huku waki-plunder resources
mmarekani na mwingereza wako hapo congo wanaiba wanavyotaka kwa kuitumia uganda na rwanda,huku wacongo wakiishi maisha ya ukimbizi nchini mwao
The big lier is 1 whom u believe
mbona Selemani amumuongelei? Selemani ni Huyo aliyesimama mbele ya Joseph. Selemani yuko wapi siku hizi?Achana na propaganda za kina mzee Étienne Tshisekedi wa Mulumba ,mama sifa mahanya ndio mama mzazi wa joseph,hii picha kama utaitazama sawasawa utamuona joseph hapo akiwa katika picha ya pamoja na mama sifa na wadogo zake enzi hizo,je unaweza kutuwekea picha ya mama yake huyo Hypolite wenu tuitazame tuone kama anafanana na joseph wa sifa mahanya na LD