.Sasa kwa hili suala huoni kua nyie wenye 5m raia n wapumbavu na mliokosa akili na mna mali zaidi ya watswana.??? Hyo mwanza tu ina ziwa ila maji shida Kigoma ziwa lote la kwenu maji shida huoni kua bado mna akili za mbwa.???
.
Mimi sikatai kuwa tuliboronga hapo kati, hasa baada ya mwalimu kung'atuka, watu wakaanza ubepari uchwara. Lakini kumbuka vipaumbele vyetu Tanzania vilikuwa tofauti na Botswana. Sisi tuliamua kuondoa umaskini, ujinga na maradhi na kwa kiasi kikubwa tuliweza kuondoa ujinga na maradhi.
Madaktari wetu wamekuwa wakienda kutabibu huko hata kwenye madini wataalamu wetu walisaidia sana. Tanzania waathirika wa HIV ni 3% watswana ni 21% wewe huoni kuwa haya ni maendeleo? Itakusaidia nini kuwa na maji ya bomba kama jamii yote ina maradhi?
Wanasema safari hatua. Na atangae sana na jua hujua!Sawa mkuu,ngoja tuzichange change.
Labda wanachujwa kule Botswana.Upo Chuo cha Takwimu Changanyikeni? Naonaga wengi hapo, ila si wazur kama inavyoandikwa humu
hAHAHA, Kijana wangu, kumbe nawe ulikuwa kwenye hizi,mambo....!!! Umenikumbusha mbali sana, yaan jamaa alitoa exposure kwa Senior staff.Uongo mbaya enzi za Mkwere tumetembea duniani sana. Tena sana. Gaborone, Geneva, Washington, London...mara kadhaa nimebadilisha begi airport (JNIA) ni mwendo wa kubadilisha ndege tu (Full paid) enzi hizo tunachagua ndege....tunaenda let say Algiers (Algeria au Tunis, humu humu Africa);
[emoji2] [emoji2] angoi gudi madandali,waanisecha nkoi ngw'anaongw'iiseAbakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]
Abakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna viwanda vya nyumbani vya kutengeneza sabuni, hivi huajiri mtu mmoja tu! Yeye ni fundi, meneja, afisa masoko na pia ndiye afisa manunuzi.Mkuu inamana Tz ya viwanda ndo haurudi tena?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna viwanda vya nyumbani vya kutengeneza sabuni, hivi huajiri mtu mmoja tu! Yeye ni fundi, meneja, afisa masoko na pia ndiye afisa manunuzi.
Viwanda vikubwa bado havitoshelezi.
[emoji23] [emoji23] aango mandandali..wanisecha'nooi nkoiAbakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ipo hata huku uSukumani ndugu.hata uGogoni kidogoNilikuwa na marafiki wa ki-Swana, wakichinja ng'ombe nyama inapakwa chumvi na kuanikwa juani, italiwa mwaka mzima, kama vile tunavyohifadhi papa kule pwani.
Ubeti WA pili msitari WA mwisho umezungumizia kukopi wasukumi !!! Je na wao watsana ni mikono ya sweta!?? Naomba majibuNaamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-
1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda
2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma
3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga
4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.
5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.
6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.
7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.
8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.
9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Jamaa mjeda ujue ila alikua hajichanganyi na wenzieMbana pua maana yake nini? Sisi watu wa mikoani hatuelewi bhanaaaa
Unamaanisha "u-Konki?" Au ng'ombe zip? Hebu funguka usaidikeVipi kazi ya kulisha ng'ombe huko Botswana inapatikana?
Duh futi 4 hiyo backwardsAbakima balinamadako matale gudi madandali [emoji23][emoji23][emoji23]