only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Sasa ndugu zangu CCM huyu mbunge anaongeza kura za CCM au anapunguza?jiulize anawambia hivyo watu wa uelewa gani...!kwa akili zangu ndogo tena sie watu wa vijijini tunajiju, mtu akisema kitu fulani kikitokea atafanya hv, kwa desturi zetu sie wenye uelewa mdogo ndio tunafanya hivyo ili tuone atakunywa sumu kweli au..???CCM inahitaji watu makini kwa mwendo huu haaa sijuii
Source:Tanzania daima.
Ukiwa na mbunge mwenye akili kama hizi unategemea nini? Nimegundua bora mara mia Mzee Malecela,kwa hakika hapa Mtera mmeruka mkojo mkakanyaga mavi....