MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Kutokana na kauli ya Lusinde kuwa atakunywa sumu iwapo CCM itashindwa, ni dhahiri kwamba CCM itatangazwa kidedea, kwa mtu makini hawezi kujitangazia kunywa sumu kwani ana uhakika kuwa watatangazwa washindi.
Ila furaha yangu ni kuwa kama CHADEMA wakitangazwa kidedea huko Igunga, basi tuanze kujiandaa na uchaguzi mdogo huko mtera. Hii ni kutokana na kauli yake kuwa atakunywa sumu.
Ila furaha yangu ni kuwa kama CHADEMA wakitangazwa kidedea huko Igunga, basi tuanze kujiandaa na uchaguzi mdogo huko mtera. Hii ni kutokana na kauli yake kuwa atakunywa sumu.