Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
mimi nimeshatukana tayari ila kwa uungwana wangu siandiki hapa
mh!
mimi nimeshatukana tayari ila kwa uungwana wangu siandiki hapa
Akili yako topetopeJamaa kasema in 1995 Igunga ilikuwa na Zahanati 9 ila mwaka huu wa 2010 ziko 74.Naomba critics mtoe pumba za negative side kama vile zahanati zimeezekwa kwa maboksi,madokta ni voda fasta na barabara za kwenda hizo zahanati inabidi ziwe flyovers.
Akili yako topetope
hivi kuna mtu kaona mkono wa kushoto wa riziwani kwenye hii picha?
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu ..... hasa kwenye issue ya mikasi
Siku zote unaongea upumbavu tu. huna point yoyote. It is better to shut up your big mouthYako stafeli au?
Mwafrika rudi kalime mahindi
Jamaa kasema in 1995 Igunga ilikuwa na Zahanati 9 ila mwaka huu wa 2010 ziko 74.Naomba critics mtoe pumba za negative side kama vile zahanati zimeezekwa kwa maboksi,madokta ni voda fasta na barabara za kwenda hizo zahanati inabidi ziwe flyovers.
Naona umekuwa msahaulifu sana kipindi hiki.Dawa ya hawa ni kuwamwaga afu kuwaburuza mahakamani...
Mkwapuaji wa mali ya umma anasema kasingiziwa...
Mbona hakwenda mahakani ili asafishwe..
Mshaurini hata kama anawadharau wa-TZ atumie maneno yenye staha...
Dawa ya hawa ni kuwamwaga afu kuwaburuza mahakamani...
Mkwapuaji wa mali ya umma anasema kasingiziwa...
Mbona hakwenda mahakani ili asafishwe..
Mshaurini hata kama anawadharau wa-TZ atumie maneno yenye staha...
Mafisadi wenzako ni PAPA ila wewe ni KIPAPA.Let the voters voice their opinion in the ballot on 10/31/2010:A S 13: