Aibu kubwa alianza kwa mikwala mbuzi mingi nikajua tu hafiki mbali.Unafikiri kuna haja ya kuficha aliyefanya tukio hilo ni MWIGULU hakuna mwingine. Na mwanamke amesharud kwa wazazi wake
Nashindwa kuhusisha "Fumanizi" na Msimamo wa Chadema au hata CCM. An iresponsible leader has been caught in the act and that is that. As far as I know simuoni aliyepo ndani ya CCM anayeweza "kumtupia jiwe" mwenzao.KAZI NZURI GAZETI LA TANZANIA DAIMA KWA KUFANYA KAZI ZA PROPAGANDA KWA MANUFAA YA CHADEMA! :angry:
It started with a death of a child now a marriage is broken what is coming next to people of Igunga from CCM?Unafikiri kuna haja ya kuficha aliyefanya tukio hilo ni MWIGULU hakuna mwingine. Na mwanamke amesharud kwa wazazi wake
Umenikumbusha alivyosema Ditopile baada ya kupatikana na kisanga kinachofanana na hiki cha Igunga.Nahisi Ingawa mkuu humu JF unajulikana kama Mzee, busara hukujaliwa maana huoni kwamba kiongozi anatarajiwa awe na uadilifu au aachie uongozi. Nyerere alisema mabarabara yapo mengi tu ya kufanyia uhuni ila uwe umeachia dhamana ya kuwa kiongozi. Ulimsikia?Habari za kimbea. Mtu kufumaniwa na mke wa mtu ni tatizo binafsi. Mod's vip tena hii kitu, toa.
Huu ni ufunuo ili watu waweze kuijua CCM vema. Mwigulu alisifiwa sana na Mukama kuwa ni jembe na amefanya uratibu mzuri wa kampeni na kwa mafanikio. Ambalo hatukulijua ni kuwa Mukama alimaanisha kuwa Mwigulu anatekeleza falsafa ya mama mkubwa ya kampeni ya kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.Tunamshukuru Mungu kwa kutuonyesha ccm walivyo .sasa kazi kwenu wana Igunga kama kiongozi huyo ameweza kumla uroda mke wa mtu kama mtaichagua ccm basi mtakua mmeridhia wake zenu waendelee kuliwa uroda kwa kwenda mbele . Hivi hawa ni viongozi ama ni mashetani? Matukio yanayoendelea ndani ya nchi yetu ni dhahiri kwamba ccm haitufai
Hiyo picha ya mama DC na huyo kijana imenichekesha sana japo si kicheko cha furaha.
<br /><br />Tutajieni hao wahusika humu mliopo huko, Ingawa ianonesha vigogo wanaongoza kampeni ya magamba ni Mchemba (Mh MB), wekeni wazi hapa
If you look closely on reputations attached to CCM leaders you won't fail to see that the intercept among them all is 'promiscuities'..It is actually just short of becoming a leadership culture in this land. To auntheticate my argument I can think of hundreds of examples by theway who can't?Huu ni ufunuo ili watu waweze kuijua CCM vema. Mwigulu alisifiwa sana na Mukama kuwa ni jembe na amefanya uratibu mzuri wa kampeni na kwa mafanikio. Ambalo hatukulijua ni kuwa Mukama alimaanisha kuwa Mwigulu anatekeleza falsafa ya mama mkubwa ya kampeni ya kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.
Kwa hili Igunga wamedhalilishwa, kama hawawezi kuzuia hamu zao kwa kipindi kirefu si wangekuja na wake zao badala ya kula wake za makada wenzao kwa mtaji ule wa chama wa 400M?
Binafsi sikumwelewa Mukama aliposema Mwigullu ni jembe maana sasa tunashuhudia uratibu wake unavyofanyika hadi kwa wake za watu, nasikia alipotimuka alisahau kufuri lake akachukua la yule kimada.Huu ni ufunuo ili watu waweze kuijua CCM vema. Mwigulu alisifiwa sana na Mukama kuwa ni jembe na amefanya uratibu mzuri wa kampeni na kwa mafanikio. Ambalo hatukulijua ni kuwa Mukama alimaanisha kuwa Mwigulu anatekeleza falsafa ya mama mkubwa ya kampeni ya kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.
Kwa hili Igunga wamedhalilishwa, kama hawawezi kuzuia hamu zao kwa kipindi kirefu si wangekuja na wake zao badala ya kula wake za makada wenzao kwa mtaji ule wa chama wa 400M?
Inaonekana wewe huna mke au mme kwa hiyo huwezi ku feel machungu yake hapa si masuala ya girlfriend na boyfriend wa shuleni kua kwanza uyaone.Kwani kuna ubaya gani si kwa starehe zao acheni wivu wa kike nyie!!