Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Apelekwe mahakamani? Nasikiavyo mwenye mke kajazwa mamilioni na huyo Njemba (kumbuka ni mweka hazina wa chama cha magamba) iliasahau yaliyopita na amrudishie chupi yake aliyoiacha gesti! Inaonekana jamaa karidhia.
Kwa ufupi angekuwa ni mtu wa CDM ndiyo kafumaniwa lingwtafutwa kosa la jinai kumbandika nalo -- hata ni la wizi wa taulo la hoteli!
Kulikuwapo thread moja hapa kwamba polisi wamesalimisha weledi wao kwa wanasiasa wa CCM! It's so sad!