Taarifa kutoka kwa waumin wa kkt igunga zinasema mtu 1 aliyetangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm, akiwa na kitambaa cha kijani shingon amekaribishwa na viongozi wa kanisa madhabauni na kuwaomba waumin wamuunge mkono ktk uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hiv karibun, inasemekana mtu huyo amefanyiwa maombi kisha akatoa sh. 2milion kwa kwaya. MAONI YANGU: Hilo limetendeka KKT, sijui kinacho endelea kny madhehebu mengine!, siungi mkono tabia hii ya viongozi wa dini na wana siasa kutumia madhabahu kutangaza siasa kwa chama chochote kile. NAWASILISHA!