FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,143
- 714
Jamani,
Siyo mara ya kwanza kusikia/kusoma kuwa mafaili ya makampuni yamepotea BRELA. Na kinachonisikitisha zaidi ni kuwa hayo makampuni au mafaili yanahusishwa na wizi au tuhuma nyingize za udanganyifu.
Nnavyoelewa ni kuwa kama ilishatokea huko nyuma nilitegemea kuwa BRELA wange SCAN na kuifadhi Electronic copy ya mafaili yao. Hii (ambayo kwa BRELA ni Project kwa sababu ya uelewa mdogo wao) ingesaidia sana kwani ninategemea wangekuwa na Backup ya system yao, hata nyumba nzima ikiungua una retrieve tu data kutoka kwenye backup tape.
Hali sio hii Brela. Je naomba kuchangia mawazo na wana JF, hakuna kipengele chochote kwenye sheria ya PCCB au sheria ya nchi inayoonyesha kuwa kama mtu aki poteza USHAIDI inabidi ashtakiwe?
Kama hamna hicho kipengele kwanini basi bwana Mkapa wa BRELA asiwajibike?
Jamani waTanzania wenzangu tuweni na uchungu na nchi hii. Na tunjenge sense ya responsibility.
Wasalaam
FD
Siyo mara ya kwanza kusikia/kusoma kuwa mafaili ya makampuni yamepotea BRELA. Na kinachonisikitisha zaidi ni kuwa hayo makampuni au mafaili yanahusishwa na wizi au tuhuma nyingize za udanganyifu.
Nnavyoelewa ni kuwa kama ilishatokea huko nyuma nilitegemea kuwa BRELA wange SCAN na kuifadhi Electronic copy ya mafaili yao. Hii (ambayo kwa BRELA ni Project kwa sababu ya uelewa mdogo wao) ingesaidia sana kwani ninategemea wangekuwa na Backup ya system yao, hata nyumba nzima ikiungua una retrieve tu data kutoka kwenye backup tape.
Hali sio hii Brela. Je naomba kuchangia mawazo na wana JF, hakuna kipengele chochote kwenye sheria ya PCCB au sheria ya nchi inayoonyesha kuwa kama mtu aki poteza USHAIDI inabidi ashtakiwe?
Kama hamna hicho kipengele kwanini basi bwana Mkapa wa BRELA asiwajibike?
Jamani waTanzania wenzangu tuweni na uchungu na nchi hii. Na tunjenge sense ya responsibility.
Wasalaam
FD