Augustoons
JF-Expert Member
- Oct 31, 2007
- 409
- 30
Hao kina Maregesi ndio hao hao wa kwenye kamati za wazazi za ccm na makada wa sumaye wa longi,sijui unaaanzeje kuwashika kama sio unapiga mkwala halafu baadaye unampigia simu ukisema " mzee usiwe na shaka ule ni mkwala tu ili wananchi waone nimekemea lakini yataisha tu,hehehe..." halafu unakata simu