DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Unadhani anazitoa wapi hizi habari kama sio kutoka kwa mtu wa karibu na marehemu.Mange kimambi mshenz sana, ndiye anayechafua na kuichonganisha hii familia mitandaoni. Wivu tu kwa K lyn
Unadhani anazitoa wapi hizi habari kama sio kutoka kwa mtu wa karibu na marehemu.Mange kimambi mshenz sana, ndiye anayechafua na kuichonganisha hii familia mitandaoni. Wivu tu kwa K lyn
Nani atakuwa mlalamikaji? Mitandaoni yalisemwa mengi kuhusu Ulimboka, Saanane, Azory na wengineo mbona hatukuona kauli ya polisi kuwahusu? Zaidi ya kuambiwa watu wasiulize.
Leteni ripoti ya MO dewji kwanza msitufanye watanzania wajinga sana
Aaah hivi yule aliyemtishia TL mitandaoni ashafatiliwa? "Hatufanyii Kazi masuala ya mitandaoni" ila kwa makada zinafanyiwa.
Mange kimambi mshenz sana, ndiye anayechafua na kuichonganisha hii familia mitandaoni. Wivu tu kwa K lyn
Mkuu kwani hapa uko wapi??huko mitandaoni wanasemaje? mimi siko huko naombeni mnijuze
Umeonajehuko mitandaoni wanasemaje? mimi siko huko naombeni mnijuze
Mange kimambi mshenz sana, ndiye anayechafua na kuichonganisha hii familia mitandaoni. Wivu tu kwa K lyn
Nimeona humu humuUmeonaje
niko huku peripheral areasMkuu kwani hapa uko wapi??
Hapo ilikuwa enzi za Lilian Kimaro. Ile thread ya lile sakata sijui ipo wapi?Manji alisema babu ameoa mjukuu.. Hatukutaka kutafakari
Mange kimambi mshenz sana, ndiye anayechafua na kuichonganisha hii familia mitandaoni. Wivu tu kwa K lyn
IGP Sirro aache upoyoyo, hivi Mo waliyemteka wao hajajua la kufanya, sasa ya Mengi aliyefia ughaibuni atayaweza?View attachment 1088004
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi lake litafuatilia kwa kina maneno yote yanayosemwa mitandaoni kuhusu Kifo cha Reginald Mengi ili kubaini kama yanaukweli wowote ili sheria ichukue mkondo wake.
IGP Sirro ametoa kauli hiyo leo baada ya kufika nyumbani kwa Dr Mengi ili kutoa Pole ya msiba.
”Mzee Mengi alikuwa mshauri mzuri sana kwenye masuala ya ulinzi na usalama pamoja na misaada midogo midogo kwa vijana wetu wanapokuwa na shida. Zaidi alikuwa ‘very humble’ mara zote alikuwa anajishusha sana.
"Yako mengi yanayoongelewa kwa sasa mitandaoni, lakini jambo la msingi tumalize kwanza msiba, hayo yanayozungumzwa mitandaoni tutafuatilia,” amesema Sirro.