johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,969
IGP Sirro amewatembelea majeruhi wa ajali ya coaster iliyotokea Mafinga na kuwatakia uponyaji wa haraka
Aidha IGP Sirro ameagiza mmiliki wa hiyo coaster akamatwe na kutoa maelekezo kwanini aliruhusu gari yake kusafirisha abiria usiku tena bila kutoa tiketi
Kamanda Sirro amesema Jeshi lake limekamilisha mazungumzo na mamlaka za Usafirishaji na hivi karibumi mabasi ya abiria yataruhusiwa kusafiri Usiku
Kwa kuanzia wataanza na route za Dar to Arusha , Dar to Mwanza na Dar to Mbeya
Chanzo: ITV
Aidha IGP Sirro ameagiza mmiliki wa hiyo coaster akamatwe na kutoa maelekezo kwanini aliruhusu gari yake kusafirisha abiria usiku tena bila kutoa tiketi
Kamanda Sirro amesema Jeshi lake limekamilisha mazungumzo na mamlaka za Usafirishaji na hivi karibumi mabasi ya abiria yataruhusiwa kusafiri Usiku
Kwa kuanzia wataanza na route za Dar to Arusha , Dar to Mwanza na Dar to Mbeya
Chanzo: ITV