johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mkuu wa Jeshi la polisi IGP Sirro leo amemvalisha cheo cha Kamishna wa Polisi CP Hamduni aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi kanda maalumu ya Dar es salaam.
CP Hamduni kwa sasa ndiye Mkurugenzi mkuu wa Takukuru.
Kazi Iendelee!
CP Hamduni kwa sasa ndiye Mkurugenzi mkuu wa Takukuru.
Kazi Iendelee!