Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Kwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa wajiandae, Hamduni amewasha moto mkali na lazma afike mbali sana.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa wajiandae, Hamduni amewasha moto mkali na lazma afike mbali sana.