darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,721
- 16,932
Bora huyo Hangaya kuliko Mwendazake na Bashite, walimpoza kwa kumpa fedha huyo mcharukoIla Hangaya kupiga picha na Mange mtu ambaye alimtukana JPM matusi ya nguoni na wakati Hangaya akiwa Makamu hii haijakaa vizuri kabisa.