IGP na timu yako hii ni aibu.

IGP na timu yako hii ni aibu.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,249
Picture 003.jpg
Enzi za Mwalimu haya yote yalikua yakifanyika katika karakana za Polisi na yalikua yakifanywa na Mechanics wa jeshi hilo kama njia ya mfunzo na kuzuia usambaratikaji holela wa vipuri na manunuzi yasio halali.

Je, itakua sahihi ukiona machinga anasukuma kifaru cha jeshi kupeleka anakotaka yeye?


:wink::wink::nono:
 
Mkuu, si wewe ndiye ungetuambia wanaipeleka wapi? na uhusiano baina ya hii picha na aibu unayoisema!

Kwa kuwa najua vijana wake wako humu hata wewe unaweza kuwa mmoja wao ndo maana nimewauliza kukusaidia ni aibu gari ya taasisi kama hii kubebwa hivyo kama ungebahatika kuishi nje ya nchi kwa wezetu hii ni haibu sana mkuu ndo maana ya kusema hivyo.
 
labda limeuzwa kwenye minada na mnunuzi anapeleka garage kulibadili. Hapa IGP ahusiki hata kidogo unless una maelezo ya ziada
 
Mtu amenunua scraps,anaipeleka kwake,kwa kuwa ana pesa ya Breakdown,ameamua kukodi mkokoteni,hapa IGP ausiki
 
Enzi za Mwalimu haya yote yalikua yakifanyika katika karakana za Polisi na yalikua yakifanywa na Mechanics wa jeshi hilo kama njia ya mfunzo na kuzuia usambaratikaji holela wa vipuri na manunuzi yasio halali.

Je, itakua sahihi ukiona machinga anasukuma kifaru cha jeshi kupeleka anakotaka yeye?

Nafikiri hii ndio nia ya maelezo ya mleta mada hii.
 
Mtu amenunua scraps,anaipeleka kwake,kwa kuwa ana pesa ya Breakdown,ameamua kukodi mkokoteni,hapa IGP ausiki

Enzi za Mwalimu haya yote yalikua yakifanyika katika karakana za Polisi na yalikua yakifanywa na Mechanics wa jeshi hilo kama njia ya mfunzo na kuzuia usambaratikaji holela wa vipuri na manunuzi yasio halali.

Je, itakua sahihi ukiona machinga anasukuma kifaru cha jeshi kupeleka anakotaka yeye?

Nafikiri hii ndio nia ya maelezo ya mleta mada hii. LexAid siongezi kitu hapo zaidi ya kusema Great thinker kwa maelezo yako.
 
Hivi kwani hadi leo hii Jeshi la Polisi linamiliki yale magari ya Hyundai yaliyokuja kama msaada miaka hiyo???

Mleta mada jibu la swali hili likiwa ni NDIO basi nitarudi kujadili hoja yako...
 
Hivi kwani hadi leo hii Jeshi la Polisi linamiliki yale magari ya Hyundai yaliyokuja kama msaada miaka hiyo???

Mleta mada jibu la swali hili likiwa ni NDIO basi nitarudi kujadili hoja yako...

Mara ya mwisho kwenda mikoa kama Mara,SHINYANGA NA SIMIYU NI Lini?nakama ulienda basi ujaweza kukaa ama kuzunguka au kuangalia magari ya jeshi letu hasa mikoani tena kama iyo niliokutajia.
 
Usikute inapelekwa kwa wazee wa MMI Steel ili ije kuwa nodno ya kujengea maghorofa yetu kama liloanguka last week
 
gari imeuzwa na mteja alienunua wajibu wake kubeba na kupeleka anakotaka yeye

hii gari sio mali ya police tena,ondoa chuki binafsi wacha kulaumu kubumbafu
 
Hilo ndinga linaonekana kama lilipigwa mnada na mnunuzi anakwenda kuliweka sawa japo maandishi sita ayajafutwa
 
Back
Top Bottom