DUUUUUU KUMBE KWELI TUMEZIBWA MIDOMO YETUUnazungumzia gar?
Zile bar zake alizotandaza anzia Chanika mpaka ushirombo nani atasimamia
Hii ndo Mwl.Nyerere alikataa ,UKABILAKwakuwa ni Mzanaki Mwenzangu tena tunatoka Kijiji Kimoja ngojea Madhaifu yake niyafiche nisimharibie Poti / Mwetu wangu.
Huu ndio umaiti uliosemwa na Jomo Kenyatta.Sirro ni Shujaa wa Nji hii u achoangalia wewe kimegubikwa na tongotongo za kutojua au za ushabiki na hata usaliti. Hela za kuzikana zinamuhusuje IGP? Hivi kazini kwako au Kijijini hamna utaratibu wa kuzikana? It's a private affair kama zimeibiwa ni sawa na mwizi yeyote. Ni.kaxi ya IGP kama vile ilivyo wizi wowote ule.
Taifa halitasimama hata siku moja kama kila mtu atatetea wa kijijini kwake.Kwakuwa ni Mzanaki Mwenzangu tena tunatoka Kijiji Kimoja ngojea Madhaifu yake niyafiche nisimharibie Poti / Mwetu wangu.