Nimejifunza kitu kwako mkuu, Ingawa umaliziaji wako umenichekesha sana aiseeee....Kiswahili sanifu ni AMIRI JESHI usiweke tena neno MKUU kwasababu neno AMRI ni neno la kiaraabu likimaanisha neno MKUU, kwa hiyo ukisema AMIRI JESHO MKUU ni sawa na kusema BARABARA YA MOROGORO ROAD
Hapa tuna angalia hoja mkuu, kama ni sisa jeshini hakuna siasa na pia muda wa kampeni ulikwisha pita aiseeeeccm watu wa ajabu sana yani kwaokupata cheo lazima ufanye tukio kupiga wazee kutukana wao hawaangalii Elimu.
swissme
Kimsingi sisi waTanzania ndio tunao potosha huu mjadala, Pale IGP Mangu haja pishana na Pombe.Watu wa sheria ebu tufafanulieni kidogo je ni sahihi mangu kupishana na amiri jeshi? muongozo
Hakuna tusi hapo hustahili cheo endelea na hayo matatizo ya kimfumo mkakati ili siku nyingine ufikirie mara mbili kutongoza familia za viongozi.Mimi mwenyewe natakiwa kupandishwa cheo, kuna binti mmoja sijui ni mfanyakazi wa ndani wa waziri nilimwaproach akanikata jicho bayaaaa, kisha akanitema mate na kunisababishia matatizo ya kimfumo mkakati!
We humtakii mema wewe.Ni jambo ambalo linaweza kumgharimu lakini at least amesimamia utawala wa sheria
Kwenye sakata la askari aliyedai kutukanwa na mke wa waziri Mahiga, Magufuli aliuagiza uongozi wa jeshi kumpandisha cheo mara moja askari huyo kama morali kwa wengine
Lakini IGP Mangu amekosoa kiaina uamuzi huo kwa kusema kwamba hana taarifa rasmi lakini hata hivyo atakapozipata itabidi askari mhusika aende mafunzoni kwanza
Hapa maana yake ni kwamba huko mafunzoni akifeli asahau kupanda cheo cha matusi! Mangu amesimamia taratibu na kanuni hii itampa heshima kubwa...nimejaribu kujiuliza ingekuwa ni Makonda Magesa na wengine wangeweza kufanya hivi kweli? Jibu ni hapana kwakuwa wamepewa vyeo kama zawadi, Mangu ni professional na kaitendea haki profession yake
Hakuna tusi hapo hustahili cheo endelea na hayo matatizo ya kimfumo mkakati ili siku nyingine ufikirie mara mbili kutongoza familia za viongozi.
Mdanganye huyo Mangu wako ajaribu kutunisha misuli aone! Chama kimeshika hatamu kwa tarifa yako. Hicho cheo lazima apandishwe!Ni jambo ambalo linaweza kumgharimu lakini at least amesimamia utawala wa sheria
Kwenye sakata la askari aliyedai kutukanwa na mke wa waziri Mahiga, Magufuli aliuagiza uongozi wa jeshi kumpandisha cheo mara moja askari huyo kama morali kwa wengine
Lakini IGP Mangu amekosoa kiaina uamuzi huo kwa kusema kwamba hana taarifa rasmi lakini hata hivyo atakapozipata itabidi askari mhusika aende mafunzoni kwanza
Hapa maana yake ni kwamba huko mafunzoni akifeli asahau kupanda cheo cha matusi! Mangu amesimamia taratibu na kanuni hii itampa heshima kubwa...nimejaribu kujiuliza ingekuwa ni Makonda Magesa na wengine wangeweza kufanya hivi kweli? Jibu ni hapana kwakuwa wamepewa vyeo kama zawadi, Mangu ni professional na kaitendea haki profession yake
Kwahiyo hata kama amri yenyeww inakiuka sheria na ama taratibu ya jambo husika?JF noma sana!
Unajua kilichomkuta Kamanda mmoja wa USA kwa kupishana Kauli na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama!
Tangazo la Raisi ni Amri hali hitaji taarifa ya Kimaandishi na hasa hili la majeshi ya Ulinzi na Usalama!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inawezekana huyo waziri una maslahi naye ndiyo maana unamtetea huyu binti aliyeni 'nyali' nitaendelea kupigania haki yangu hadi nipandishwe cheo walau nipewe ubalozi wa Bongo kwenye nchi maalum!
Ila Mangu anamtakia mema askari , aende akasome ili zawadi iwe na tija huko mbeleni asije kutokea wa kumnyanyasaRaisi ametoa cheo kama zawadi
IGP anamtaka askari husika alipie zawadi...
labda zawadi imekua kubwa kuliko zuri alilofanya ila bado ni zawadi,kama ataenda mafunzoni basi hiyo sio zawadi tena
atakayebadilisha zawadi ya raisi cheo chake kinaweza kua ni juu ya amri jeshi
Kimsingi umerudia nilichoandika kwa ufupi na kwa namna nyingineMdau nadhani hili swala ww umelitafsili kwa angle yako kadiri ulivyolielewa ww . Mangu hakuna kitu alichokosoa, Kifupi ni kwamba Serekali huwa inawasiliana kwa maandishi.......ili Mangu aweze kutekeleza maelekezo ya Mh Rais lazima apewe barua ya kumtaka afanye alichoagizwa...... na yy wakati anatekeleza aliyoagizwa ni Iazima afate utaratibu wa kupandisha askari vyeo...... at the end of the day.... yule askari atapandishwa cheo kwa mujibu wa maelekezo lakini kwa kuzingatia utaratibu.