Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Hivi sasa wameonekana askari wenye elimu kama Diploma na degree kwenda kusomea cheo wengine wa zamani walio kaa sana wana miaka zaidi ya 8 hawajawahi pandishwa cheo wakiwa wanakidhi vigezo vyote na ni watiifu wamebaki, vijana walio ingia kabla yao na ambao hawana vigezo vya muda wa kukaa kazini wameanza kupelekwa kwenda kusomea vyeo.
Swala hili limeonekana kuwakwaza askari baadhi na wamekaa kimya, fikiria swala hili rudisha mfumo wa zamani kwamba yazingatiwe miaka ya kuwepo kazini kupandishwa vyeo nidhamu na kadhalika. hao wanao pelekwa kwenye vyeo wengine hata kazi za CRO hawazijui, wanakua hawajui kufungua file aibu maana hawajui aina ya kesi inayotakiwa kufunguliwa na hawajui maswala ya ma faili.
Nipendekeze tu kuwa utaratibu wa zamani wa watu kupitia CRO na kupata uzoefu ni muhimu sana, wenye uzoefu mkubwa na walio kaa sana bila kupandishwa vyeo wakiwa wamekidhi vigezo iwe priority ya kwanza, kwa sasa wapo walio kata tamaa ya kupandishwa vyeo namba zikiwa ni kubwa, waone na uwatimizie ahadi ya mkataba kama barua ya ajira katika jeshi la polisi inavyoeleza.
Swala hili limeonekana kuwakwaza askari baadhi na wamekaa kimya, fikiria swala hili rudisha mfumo wa zamani kwamba yazingatiwe miaka ya kuwepo kazini kupandishwa vyeo nidhamu na kadhalika. hao wanao pelekwa kwenye vyeo wengine hata kazi za CRO hawazijui, wanakua hawajui kufungua file aibu maana hawajui aina ya kesi inayotakiwa kufunguliwa na hawajui maswala ya ma faili.
Nipendekeze tu kuwa utaratibu wa zamani wa watu kupitia CRO na kupata uzoefu ni muhimu sana, wenye uzoefu mkubwa na walio kaa sana bila kupandishwa vyeo wakiwa wamekidhi vigezo iwe priority ya kwanza, kwa sasa wapo walio kata tamaa ya kupandishwa vyeo namba zikiwa ni kubwa, waone na uwatimizie ahadi ya mkataba kama barua ya ajira katika jeshi la polisi inavyoeleza.