chagonjam
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 354
- 418
Nimetafakari kwa kina Juu ya mustakbali na kazi za African Union (AU) katika mashirikiano yao kama wanavyojiita ila binafsi nimebaini, bado muungano huo hauna tija ya maana miongoni mwa mataifa yanayounda muungano huo.
African Union (AU) wanapaswa kukaa pamoja kuangalia upya maana halisi ya muungano nini, wanaunganishwa na nini, faida za hayo watakayo unganishwa nayo ni nini kwa kila mmoja,mikutano yao katika namna ya dharura kujibu matamko nyeti itakuaje.
Mimi nijuavyo muuungano kujibizana na muungano inaleta tija kuliko nchi fulani kujibizana na muungano, hasa majibizano ya kutokukubaliana. Nimesema hili kutokana na wenzetu wenye mataifa makubwa kutumia miungano yao kuchapia nchi za afrika hali ya kuwa muungano wa afrika uko kwa ajili ya kushauriana baina ya viongozi na si kujibu hoja za miungano mingine inayowachapa kila kukicha.
Nimeshwashika kusema hili hasa kutokana na asilimia zaidi 95% ya nchi za afrika kukataa ushoga kimoyo moyo hali ya kuwa asilimia zaidi ya 95% ya nchi za ulaya kuhalalisha ushoga katika, aidha nchi za ulaya zinatumia muungano wao (EU) kulazimisha nchi za afrika kukubali ushoga kutokana na wao kukubaliana katika hilo. Ila kwa nchi za afrika inakuwa kinyume kutokana na kushindwa kutumia umoja wao (AU) kuonyesha kutokukubaliana na (EU) katika hilo.
Endapo EU ingesema ushoga ni halali naamini tija ingepatikana tuu endapo AU ingesema ushoga si halali, wanachofanya wenzetu ni kushikamana na kisha kutukaba mmoja mmoja. Na hata mnapokataa wanawatengenezea karatasi la kusaini mmoja mmoja, nadhani ikifika mahali AU ikaanza kutoa matamko ya kujibu miungano sambamba na kuwekeana taratibu za kuwa na msimamo mmoja ambao itamlazimu kila mwanachama kuuheshimu naamini muungano wa AU ungekuwa na tija kubwa kwa africa.
African stand up! You should know and use the power of AU!
Dawa ya kumtibu EU ni AU na dawa ya kumtibu AU ni EU but EU dhidi ya nchi ni rahisi kwa EU kushinda na vilevile AU dhidi ya nchi ni rahisi kwa AU kushinda. To try your power against country simply stand as AU and say we don’t want England commodities in Africa you will see power of you!
Mungu Ibariki Africa.
African Union (AU) wanapaswa kukaa pamoja kuangalia upya maana halisi ya muungano nini, wanaunganishwa na nini, faida za hayo watakayo unganishwa nayo ni nini kwa kila mmoja,mikutano yao katika namna ya dharura kujibu matamko nyeti itakuaje.
Mimi nijuavyo muuungano kujibizana na muungano inaleta tija kuliko nchi fulani kujibizana na muungano, hasa majibizano ya kutokukubaliana. Nimesema hili kutokana na wenzetu wenye mataifa makubwa kutumia miungano yao kuchapia nchi za afrika hali ya kuwa muungano wa afrika uko kwa ajili ya kushauriana baina ya viongozi na si kujibu hoja za miungano mingine inayowachapa kila kukicha.
Nimeshwashika kusema hili hasa kutokana na asilimia zaidi 95% ya nchi za afrika kukataa ushoga kimoyo moyo hali ya kuwa asilimia zaidi ya 95% ya nchi za ulaya kuhalalisha ushoga katika, aidha nchi za ulaya zinatumia muungano wao (EU) kulazimisha nchi za afrika kukubali ushoga kutokana na wao kukubaliana katika hilo. Ila kwa nchi za afrika inakuwa kinyume kutokana na kushindwa kutumia umoja wao (AU) kuonyesha kutokukubaliana na (EU) katika hilo.
Endapo EU ingesema ushoga ni halali naamini tija ingepatikana tuu endapo AU ingesema ushoga si halali, wanachofanya wenzetu ni kushikamana na kisha kutukaba mmoja mmoja. Na hata mnapokataa wanawatengenezea karatasi la kusaini mmoja mmoja, nadhani ikifika mahali AU ikaanza kutoa matamko ya kujibu miungano sambamba na kuwekeana taratibu za kuwa na msimamo mmoja ambao itamlazimu kila mwanachama kuuheshimu naamini muungano wa AU ungekuwa na tija kubwa kwa africa.
African stand up! You should know and use the power of AU!
Dawa ya kumtibu EU ni AU na dawa ya kumtibu AU ni EU but EU dhidi ya nchi ni rahisi kwa EU kushinda na vilevile AU dhidi ya nchi ni rahisi kwa AU kushinda. To try your power against country simply stand as AU and say we don’t want England commodities in Africa you will see power of you!
Mungu Ibariki Africa.