Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Tunyimwe unyumba mpaka hili lieleweke labda tutapata akili...
machangudoa watakula nini?
Tunyimwe unyumba mpaka hili lieleweke labda tutapata akili...
Mkuu Wewe ni mwanamke halisi? Kwa kweli inaniuma sana kwa haya tunayofanyiwa mpaka sasa tunaogopa hata kuongea kwa amri majumbani mwetu! Maana sasa vimama navyo vimepata nguvu ukijidai tu unaambiwa wanaume wako escrow bwana nyie nini bwana!! Sisi ni mataahira!!
Hahahaa haaaa
Na kweli. ..cc RUTTASHOBOLWA
Haiwezekani watuibie pesa yetu halafu wakatae kujiuzulu na kutamba kwenye bunge letu tukufu halafu sisi watanzania tumekaa tu tumewangalia, hivi kweli nchi ina wanaume kweli na kama wapo kwanini tusivae sketi tupige umbea na wake zetu kuliko hili la kuibiwa na kubaki kuchekacheka tu hivi haya yangefanyika hata Kenya wangelitulia tu bila kufanya jambo Burkinafaso hawakuwa wajinga.
ni wanaume kwa sababu wanavaa suruali tu na sauti lakin hamna kitu.sijaona tofauti mliyonayo na wadada[/QUKOTE]
kwani mkuu we wajinsia gani?
ni wanaume kwa sababu wanavaa suruali tu na sauti lakin hamna kitu.sijaona tofauti mliyonayo na wadada[/QUKOTE]
kwani mkuu we wajinsia gani?
Mwanaume Lakin si wa kitanzania
ni wanaume kwa sababu wanavaa suruali tu na sauti lakin hamna kitu.sijaona tofauti mliyonayo na wadada
Mimi ni mwanaume halisi Lakin mtanzania nusu
napata shida saana kuelewa sisi watanzania ni watu wa aina gani.....waoga...wanafki,wapumbavu au tumelogwa....inaniuma saana,mpaka lini jamani,kuna vitu vya waz havihitaji ubishi bungeni ni kuwafungia watu kazi kw nguvu ya UMMA...amkeeeni jamaaaani!Haiwezekani watuibie pesa yetu halafu wakatae kujiuzulu na kutamba kwenye bunge letu tukufu halafu sisi watanzania tumekaa tu tumewangalia, hivi kweli nchi ina wanaume kweli na kama wapo kwanini tusivae sketi tupige umbea na wake zetu kuliko hili la kuibiwa na kubaki kuchekacheka tu hivi haya yangefanyika hata Kenya wangelitulia tu bila kufanya jambo Burkinafaso hawakuwa wajinga.