Pasco,
Watu wengi wanakuheshimu sana hapa ndani. Mimi ni mmoja wao.
Nadhani utajifunza kuwa kuandikahapa bila research kuna impact!....Negative impact!...suppose ungekuwa umeongea kwa krefu na Dr.Slaa ndio uje kuandika, usingeandika ile biasness ya kwenye original thread!
Umenisikitisha sana kwa vile unatafuta mambo ambayo yana'insinuate chuki kati ya wakuu wa vyama, hadi level ya wafuasi!.
Tumia kalamu kujenga ndugu Pasco!
Mkuu Paka Jimmy, heshima mbele. Nilikufahamu vizuri wakati wa msiba wa Sipo. Wewe ni miongoni mwa jf pioneers wa jf kusaidiana kwenye shida na raha na hata tulipopata msiba huu, nikahamasisha jf tujiorganise tuhudhurie maziko na nikamsisitizia Max kama PK aliweza kwenye msiba wa Sipo kwa nini tushindwe?!.
Hivyo safari yangu Ifakara, you are my inspiration!. Thanks far that!.
Nakushukuru kwa kuniheshimu, heshima hailazimishwi inakuwa earned kwa michango yako humu jukwaani au lost kwa kupost pumba, crap au utumbo. Hivyo kama nimepost crap, nitajivunjia heshima mwisho nitabaki crap!.
Hoja ya kuitumia kalamu yangu kujenga badala ya kubomoa ni hoja ya msingi ila katika ujenzi imara, kuna wakati unatakiwa kubomoa ili ku reinforce na hivyo kuwa imara zaidi!.
Kama una bondia wako ambaye unapenda ashinde pambano, utamuandaa kwa mapambano ya utangulizi na mabondia wa ukweli ambao watamkong'ota kisawasawa ili kumuimarisha na sio kumpa mazoezi na mabondia weak ili wasimuumize ukifikiri kumuhurumia ndio kumsaidia kumbe ni kumuangamiza!.
Nakiri kuwa ni kweli mimi ni miongoni mwa wakosoaji wakuu wa Chadema na pia ni mkosoaji mzuri wa Dr. Slaa ndio maana nampigia chapuo Lowassa!. Dr. Slaa kwa Lowassa ni cha mtoto, hivyo ndio mwana wetu, sasa mchelea mwana kulia, hulia yeye!. Kuliko mimi 2015 nilie tena bora chapa bakora za nguvu Dr. Slaa!.
PJ nakuhakikishia japo mimi naonekana ndio mbomoaji, amini nakuambia sisi wabomoaji humu ndio wajengaji na hao mnao waona kama ndio wajengaji ni maneno mengi ila matupu vitendo sifuri!.
Nakuhakikishia wakati muafaka ukifika mtanishukuru kwa kuwapitisha viongozi wenu wa Chadema kwenye tanuru la moto!.