Ha ha ha! Pasco, mbona unatuuzia mbuzi kwenye gunia?
Hayo maswali ni yapi hayo unayodai ulimalizia?
Yana tofauti na hayo ya kwanza, na majibu je ya tofauti?
I am just interested to know ni maswali gani hayo yaliyokufanya usema umebadili mawazo, pia usichanganye ujumbe wa bandiko hili na lets say kwamba sitaki ubadili mawazo yako.
Well said.....K.bangi...JK aliupora msiba ule ili kujipandisha chati. Siku hizi hata watoto wadogo wanamsema ni rais dhaifu. Anatafuta misiba ili kujikweza!
Slaa mzee wa visasi, chuki na fitna..
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
Hiyo seat iliyokuwa wazi kati ya Zito na Mbowe, ndo inasemekana ilikuwa ya kwake lakini hakukaa.
Pasco,Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.
PJ usimpandishe chati huyu hatuwezi kumueshimu mtu mropokaji humu, ukiangalia protokali ilivyo ya serikali yetu, popte pale Rais ndo huanza kusalimia mtu/watu,Pasco,
Watu wengi wanakuheshimu sana hapa ndani. Mimi ni mmoja wao.
Nadhani utajifunza kuwa kuandikahapa bila research kuna impact!....Negative impact!...suppose ungekuwa umeongea kwa krefu na Dr.Slaa ndio uje kuandika, usingeandika ile biasness ya kwenye original thread!
Umenisikitisha sana kwa vile unatafuta mambo ambayo yana'insinuate chuki kati ya wakuu wa vyama, hadi level ya wafuasi!.
Tumia kalamu kujenga ndugu Pasco!
acha uongo hapoa alitakiwa akae PINDA
PJ naona una kirangaraizi hapa..lolGuys,
We really are not interested in this kind of discussion you are bringing here!
Each of you entails a group of fans, who automatically will get flabagasted to see this kind of communication u guys use!...huh!
acha uongo hapoa alitakiwa akae PINDA
spin ya kitoto hii mkuu
Kwa mwenzake pia inawezekana na pengine zaidi yake.Slaa mzee wa visasi, chuki na fitna..
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.