JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,024
Wadau wengi wamekuwa wakiumizwa na maradhi haya; hebu tuyaangalie kwa mapana yake:
What Is a Urinary Tract Infection?
About half of women will get a urinary tract infection or UTI at some point in life. It happens when germs infect the system that carries urine out of your body -- the kidneys, bladder, and the tubes that connect them. Bladder infections are common and usually not serious if treated promptly. But if the infection spreads to the kidneys, it can cause more serious illness.
UTI Symptoms: Bladder Infection
Most UTIs are bladder infections. Symptoms include:
Pain or burning during urination
The urge to urinate often
Pain in the lower abdomen
Urine that is cloudy or foul-smelling
Some people may have no symptoms
UTI Symptoms: Kidney Infection
An untreated bladder infection can spread to the kidneys. Signs of this include:
Pain on either side of the lower back
Fever and chills
Nausea and vomiting
When to See Your Doctor
See your doctor right away if you have signs of a urinary tract infection. A bladder infection is generally not a medical emergency -- but some people have a higher risk for complications. This includes pregnant women, the elderly, and men, as well as people with diabetes, kidney problems, or a weakened immune system.
UTI or Something Else?
Although burning during urination is a telltale sign of a UTI, it can also be a symptom of certain sexually transmitted diseases (STDs.) These include chlamydia, gonorrhea, and trichomoniasis. Simple lab tests are available to distinguish a UTI from an STD.
UTI Complications
The main danger associated with untreated UTIs is that the infection may spread from the bladder to one or both kidneys. When bacteria attack the kidneys, they can cause damage that will permanently reduce kidney function. In people who already have kidney problems, this can raise the risk of kidney failure. There's also a small chance that the infection may enter the bloodstream and spread to other organs.
=============
Case Studies:
Athari kwa watoto:
Asilimia kubwa ya Watanzania hawaujui vizuri ugonjwa wa UTI. Kumekwepo na maelezo kutoka kwa watu mbali mbali na wakati mwingine hata kwa wataalamu wa afya kuhusu ugonjwa huu lakini bado watu wengi wanakanganyika na ukweli halisi.Leo nitajaribu kutoa maelezo walau kwa kina ili jamii iujue ugonjwa huu kinagaubaga.
Kwanza kabisa kirefu cha cha herufi UTI ni URINARY TRACT INFECTION ikimaanisha maambukizi kwenye njia ya mkojo.
Msomaji anapaswa kujua njia ya mkojo ni ipi, inaanzia wapi na inaishia wapi. Kwa ujumla njia ya mkojo inaanzia kwenye mrija wa mkojo kwa mwanaume na mwanamke. Mrija huu unajulikana kama URETHRA na ukishapata maambukizi ugonjwa sehemu hii unaitwa URETHRITIS.Njia ya mkojo inayofuata baada ya urethra ni BLADDER yaani kibofu.
Kibofu kikipata maambukizi ugonjwa unajulikana kama CYCITITIS. Baada ya kibofu inafuata mirija miwili inayokwenda kwenye figo mbili. Mirija hii inaitwa URRETERS na ikishaambukizwa inajulikana kama URRETITIS.Na mwisho wa njia ya mkojo ni figo mbili yaani KIDNEYS na hizi figo zikishaambukizwa ugonjwa unajulikana kama NEPHRITIS.Sasa basi ni lazima tujue ni vimelea wa aina gani wanaoleta ugonjwa wa UTI.
Hapa nitajaribu kuonisha na kupanga vimelea katika makundi maalum.
Vimelea vinavyojulikana ni kama ifutavyo:
1. BACTERIA eg Streptococci, Staphylococci, E.Coli, H.Influenza, Proteus sp.Pseudomonas etc.
2. VIRUSES eg Clamydia tracomatis
3. FUNGI eg Candida albicans
4. TRICHOMONIASIS
5. SCHISTOSOMIASIS (kichocho)
6. PARASITES
7. GONORRHEA (kisonono).
Watoto wadogo mara nyingi wanapata UTI kutokana na kutobadilisha nepi kwa wakati na hivyo unyevu wa mikojo na mavi huvuta vimelea na kuleta maambukizi. Kwa watu wazima hasa wale wanaofanya ngono zembe wanapata magonjwa ya zinaaa kwa urahisi na hivyo wanakuwa tayari wana UTI. Kuna fikra kubwa imejengeka miongoni mwa jamii kuwa UTI inaletwa kwa urahisi kwenye vyoo vya kuchangia.
Dhana hii kwangu naweza kusema si sahihi hata kidogo kwa sababu wanaume wanakojoa kwa kuagiza mkojo kwa mbali kama risasi kwenye tundu la choo, sasa hao vimelea wanafuata mkondo wa mkojo kama unavyofanya umeme? Au wanaruka na kuja kuingia kwenye tundu la mkojo? Jibu ni hapana.Kwa wanawake wao wanajisaidia kwa kuchuchamaa, wakimaliza hawatoezi au hawasoteshi nyeti zao kwenye sinki au shimo la choo na wala vimelea vya magonjwa vilivyomo chooni haviambukizi kamwe kwa ya mvuke.
Dalili za UTI zinaonekana kulingana na aina ya maambukizi.Lakini dalili kuu kwa watoto na watu wazima zinafanana nazo ni maumivu wakati wa kukojoa na pengine kutoka uchafu au usaha kwenye njia ya mkojo. Kichocho dalili zake ni kukojoa damu na maumivu. Complications za UTI nazo ziko nyingi na zinategemeana na aina ya maambukizi. Matibabu nayo yako mengi na tofauti kulingana na aina ya maambukizi.
UTI= Urinary Tract Infection ni ugonjwa unaoambatana na mfumo mzima wa njia ya mkojo kutokea kwenye mafigo, mirija ya mkojo (ureter), kibofu, tunda (prostate gland ) na njia ya kupitia mkojo kwenye uume (urethra)
Hivyo sababu huambatana na chanzo cha tatizo katika mojawapo ya sehemu husika, Mfano:
1. Ugonjwa wa sukari hufanya kiwango cha sukari kuwa kikubwa kwenye damu kwa vile mafigo kazi yake ni kuchuja damu hivyo ni kusema sukari huingia kwa wingi kiasi cha kusababisha vidudu bakteria kuzaliana kwa wingi kwenye mafigo au kibofu cha mkojo.
2. Madawa /sumu huchubua utando wa njia ya mkojo na kusababisha bacteria kuzaliana
3. Matatizo ya vijiwe kwenye figo/ mirija ya mkojo, kibofu, hufanya msongomano wa mkojo na Vijidudu huzaliana.
4. Maradhi ya Tunda Prostate gland huvimba na kufunga njia ya mkojo matokeo yake kuuzuia na kuuweka mkojo mda mrefu kwenye kibofu mpaka bacteria kuzaliana.
5. Tendo la ndoa, sexual intercouse unapata vijidudu moja kwa moja kutoka kwa mwanamke mwenye uambukizo
6. Kujichua, tendo hili mara nyingi watu hutumia mafuta au sabuni ambazo huwa zina kemikali zinazopenya kwenye mrija wa mkojo huwasha na kusababisha vidonda ambayo bacteria hukua na kazaliana
7. Usafi, aidha kwa kujikamua sana baada kukojoa, kutawaza maji machafu kutokuwa na hali ya unadhifu, huko chini kuna vijidudu ambavyo huishi baina ya njia ya haja kubwa na makorodani kutokana na hali ya ujoto humea vizuri na hupata nafasi ya kukuingia kwenye mirija kama utakuwa huna tabia ya kuwapunguza kwa usafi.
Natumai nimejaribu kukutajia sababu kuu muhimu katika mazingira ya kawaida huenda zikakusaidia kukata kiu yako.
Asante
UTI ni ugonjwa unaowasumbua sana watu wengi, hasa wanawake na watoto wadogo. Leo nitazungumzia UTI kwa wanawake na tiba yake.
Ugonjwa huu huambukizwa kwa njia ya maji maji, choo kichafu au kujamiiana na mtu mwenye UTI, pia kwa wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
TIBA ASILI
Chuma majani ya mpera, uyachemshe kwa dk15, kisha chuja kwenye chombo kisafi, subiri yapoe kisha kunywa kikombe kimoja mara mbili; asubuhi na jioni kwa siku 7
au
Oshea ukeni asubuhi na jionikwa siku 7. Wakati unaanza utahisi maumivu ukeni, lakini kadri unavyoosha maumivu yatapungua na yakiisha ujue umepona. Hakuna madhara wala haiwaangamizi walinzi/ bacteria wanaolinda uke.
TAHADHARI: Usinywe ukiwa mjamzito.
Maelezo zaidi niPM
What Is a Urinary Tract Infection?
About half of women will get a urinary tract infection or UTI at some point in life. It happens when germs infect the system that carries urine out of your body -- the kidneys, bladder, and the tubes that connect them. Bladder infections are common and usually not serious if treated promptly. But if the infection spreads to the kidneys, it can cause more serious illness.
UTI Symptoms: Bladder Infection
Most UTIs are bladder infections. Symptoms include:
Pain or burning during urination
The urge to urinate often
Pain in the lower abdomen
Urine that is cloudy or foul-smelling
Some people may have no symptoms
UTI Symptoms: Kidney Infection
An untreated bladder infection can spread to the kidneys. Signs of this include:
Pain on either side of the lower back
Fever and chills
Nausea and vomiting
When to See Your Doctor
See your doctor right away if you have signs of a urinary tract infection. A bladder infection is generally not a medical emergency -- but some people have a higher risk for complications. This includes pregnant women, the elderly, and men, as well as people with diabetes, kidney problems, or a weakened immune system.
UTI or Something Else?
Although burning during urination is a telltale sign of a UTI, it can also be a symptom of certain sexually transmitted diseases (STDs.) These include chlamydia, gonorrhea, and trichomoniasis. Simple lab tests are available to distinguish a UTI from an STD.
UTI Complications
The main danger associated with untreated UTIs is that the infection may spread from the bladder to one or both kidneys. When bacteria attack the kidneys, they can cause damage that will permanently reduce kidney function. In people who already have kidney problems, this can raise the risk of kidney failure. There's also a small chance that the infection may enter the bloodstream and spread to other organs.
=============
Case Studies:
Habarini waungwana mbalimbali
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 24 nasumbuliwa sana na u.t.i mpaka sasa toka mwaka jana. Mwezi wa 4 mwaka huu nimefanya urine culture na nikapewa dawa lakini bado tatizo lipo.
Nimechoma sindano pamoja na vidonge lakini nimalizapo tu dozi basi tatizo huanza tena. Na huwa mapumbu yanakua kama yanatekenya hivi tumbo lina choma usawa wa kibofo na vichomi vichomi katika tumbo mpaka sehemu ya kupitishia mkojo kwa chini inakua kama inawasha lakini hakuna uchafu wowote unaotoka wakati wa kukojoa. Mkojo mda mwingine ni mweupe sana mda mwingine kahawia.
Wataalam mbalimbali naomba msaada wenu tafadhari wa haraka nini nifanye nahambatanisha na majibu ya vipimo.
Wana JF naombeni msaada juu ya hili.
Mke wangu anasumbuliwa na kuumwa tumbo na mgongo mara kwa mara.
Mara ya kwanza tulienda hospitali wakasema ana U.T.I, akapewa dawa baada ya kumaliza ile dose alikaa kama miezi miwili bila hayo matatizo then akaanza tena kulalamika.
Tukaenda hospital nyingine akapewa dawa na kushauriwa aache kutumia vidonge vya uzazi wa mpango(akasitisha matumizi yake), tangu mwezi 9, mwaka jana mpaka juzi 14/01/2012 ameanza tena kulalamika tumbo na mgongo.
Kabla na nikiwa nafikiria nini cha kufanya naombeni mawazo yenu kwa uzoefu, ufahamu na ushauri wa kitaalamu juu ya hili.
Nina tatizo hili la UTI kujirudia mara kwa mara naombeni msaada wa matibabu kwa kina kwani nimetibiwa huu mwaka unaisha lakini kila nikipima tena inaonekana ipo japokuwa dalili zake hupungua.
Kwa mara ya kwanza nilikua nakojoa mara kwa mara, maumiv wakat wa kukojoa, maumivu chini ya kitovu, homa lakini kadri muda unavozidi kwenda dalili hizo zimepotea ila ugonjwa haujaisha.
Nini tatizo wajameni, ukizingatia kipindi hichi ni mjamzito; je, ugonjwa huu utaniletea matatizo kwa mtoto atakayezaliwa?
Wandugu,
Mpenzi wangu amekuwa na tatizo ambalo sasa limefikia mahala linaninyima raha kabisa....anasumbuliwa sana sana na tatizo la U.T.I na amejaribu kwenda hospitali na kupata dose....ya sindano kwa vile tatizo lilionekana kubwa na akafanikiwa kumaliza dose salama na kupona kwa wakati ule...
Sasa tatizo ni kwamba kila tunapofanya mapenzi baada ya muda kidogo lile taatizo linajirudia tena na aanapokwenda kwa daktari anakuta UTI ya kutosha sana tu!!
Mwanzoni nilidhani ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kufanya mapenzi ndo nilipoamua kwenda nami kucheki na kukuta mkojo wangu upo okay....
Sasa hii ya juzi ndo imenishangaza mpaka sasa nipo pending......sijielewi kabisa...
Ni takribani miezi miwili hajaziona siku zake(MP),nikamshauri aende akaangalia kama ni mimba ili tupate uhakika na tukianalie mazingira ya kueleweka hicho kiumbe kijacho,
Alichokuta ni UTI tena na dokta kamwambia hakuna mimba ..... na kuna UTI nyingi sana na akapewa dose ya kutumia......
Hii kitu inatuumiza sana vichwa sote wawili na huwa maswali yaliyokosa majibu yanayojitokeza ni haya ndugu zangu....
1. Je, kuna uwezekano kweli mwanamke akapitiliza kwa miezi miwili bila MP na bila mimba vilevile?
2. Kuna uhusiano gani kati ya MP na UTI kwa wanawake?
3. Nini sasa suluhisho la kudumu la matatizo yake ya UTI? maana yanaelekea kuwa sugu sasa,na yanajitokeza mara tu baada ya kufanya mapenzi
Nahitaji sana ushauri wenu wakuu,ili tuweze nasi kuenjoy mapenzi yetu, sio siri hili tatizo linatu-disturb sana mind zetu
Thanks in Advance wakuu!!
Nakaribisha ushauri wa kujenga...
Athari kwa watoto:
Habari wana JF na wenye ufahamu na Mambo ya kitabibu.
Nimechelewa mno kugundua tatizo la mkojo mchafu kwa mwanangu wa miezi tisa.
Alianza kwa kujishikashika nyeti zake kama miezi miwili nyuma, sasa labda kwa kukosa uzoefu kwa Kuwa ndiye mtoto wangu wa kwanza sikugundua kuwa linaweza kuwa Ni tatizo, sasa mpaka tunashtuka mimi na mama yake mtoto anakojoa damu.
Tulimkimbiza haraka hospitali kariakoo kwa dk Hameer ma ametupa dawa fulani hivi ya unga ya kuchanganya ma maji ambayo anatumia siku ya pili sasa,
Ila mtoto anapata taabu sana akojoapo yaani ni kilio hatulali wala mchana hatupumziki kabisa!
Je, hii hali itakwisha kweli maana tunakosa raha kwa kweli tunapomwona mtoto wetu pekee anapata taabu namna hii.
Ana siku ya pili anatumia dawa, mtoto wetu ni wa kiume.