Ifahamu Nchi ya Scotland (United Kingdom)

Ifahamu Nchi ya Scotland (United Kingdom)

Kwa Kada za Afya ni Bora kuomba direct kwenye Shirika la Afya la Uingereza,Google NHS website ikisha career,kuna uhaba Mkubwa wa Kada za Afya, pia waweza omba hospital za private, hii Sana Sana London,kuna Mdada mmoja mganda ameomba private hospital amepata position, na mshahara anakula £5,000 monthly, halafu kapewa visa ya miaka Mitano aingie yeye na watoto wake wawili na ni renewable,Ila yeye alideclare ni single mama,
Eh toa muongozo unaomba vip izo kazi mfano ma engeneer na watu wa afya.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna limitation ya vitu vingi kule mkuu but kunafaa kutafuta pesa then unakula bata nchi jirani sheria za kiislam zilizowekwa kule ni ngumu sana unzinzi hawaruhusu, nguruwe huruhusiwi kula na masheria mengine mengi Kama umezoea kujiachia hapakufai kabisa
No mimi siendi kutafuta pesa just kutembea hata mwezi mmoja....basi
 
Nawa encourage Sana watanzania Wenye taaluma mbao wanahisi bongo hapawafai au Wenye uzalendo mdogo,Waombe kufanya kazi nje ikiwemo UK, Ila kimombo nacho huwa wanakutahini kabla kama sikosei, wanaojua zaidi wataeleza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabunge wanaowakilisha Scotland katika bunge la London wanashiriki pia kutunga sheria zinazohusu England pekee, ni kama Wapemba na Waunguja wanavyoshiriki kutunga sheria zinazohusu Tanganyika pekee katika bunge la Dodoma.
 
Vipi kuhusu kazi za kilimo
Kilimo niliona eastern europeans wengi ndo walikua wanabeba hizo kazi sana sijajua baada ya Brexit itakuaje. Ila pia kilimo kule wanatafuta watu wakufanya kazi manual ambazo mashine haziwezi kufanya kama kuokota matunda kwenye miti na kazi nyingine....kifupi kule kazi za kilimo hasa ni manual labor maana kazi nyingi za kilimo kule zinafanyika na mashine....zile ambazo mashine haziwezi kufanya ndo wanatafuta wafanyakazi
 
Kwa Kada za Afya ni Bora kuomba direct kwenye Shirika la Afya la Uingereza,Google NHS website ikisha career,kuna uhaba Mkubwa wa Kada za Afya,pia waweza omba hospital za private,hii Sana Sana London,kuna Mdada mmoja mganda ameomba private hospital amepata position,na mshahara anakula £5,000 monthly, halafu kapewa visa ya miaka Mitano aingie yeye na watoto wake wawili na ni renewable,Ila yeye alideclare ni single mama,


Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu Vyuo vyao vya afya mtu akija kusomea huko, na baadaye aingie kwenye ajira.Ada zao zipoje?na maisha kwa mwanafunzi yapoje?
 
Mkuu kwa mtu aliesomea nursing Udom degree anaweza pata kazi huko...?

Lakin pia vip matumizi kwa mwezi ukiwa mtu wa kula simple,kuvaa simple pia
(Yan kufanya vitu vya muhimu tu bila starehe inaweza kuwa kiasi gani kwa mwezi)..?

Nashukuru in advance kwa majibu
 
Ada kwa vyuo kiukweli sina uzoefu nazo sababu sio area yangu of interests, Ila unaweza ukaangalia Ada za vyuo mwenyewe for international students Kwa miji unayoitaka ndani ya UK,Kwa Glasgow vyuo vikuu nivijuavyo ni vifuatavyo,
1.University of Glasgow
2.Strathclyde university
3. Caledonian university,.

Ama Kwa kozi ndogo Ndogo za Afya jaribu kucheki vyuo vifuatavyo,
1. City of Glasgow college
2. Kelvin college
3. Clyde college
4. West of Glasgow college,

Google mwenyewe uangalia,
Vipi kuhusu vyuo vyao vya afya mtu akija kusomea huko,na baadaye aingie kwenye ajira.Ada zao zipoje?na maisha kwa mwanafunzi yapoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa mtu aliesomea nursing Udom degree anaweza pata kazi huko...?

Lakin pia vip matumizi kwa mwezi ukiwa mtu wa kula simple,kuvaa simple pia
(Yan kufanya vitu vya muhimu tu bila starehe inaweza kuwa kiasi gani kwa mwezi)..?

Nashukuru in advance kwa majibu
Mkuu kabisa Kabisa,Kwa uzoefu wangu Kwa maisha ya watu wanaolipwa kawaida Tu sio hao manurse basi mshahara wao wanalipa rent,walipa all respective bills,na kuvaa,Kula na bado unaweza kusave 1,000/- pounds monthly, sasa Kwa nurse Naamini itakuwa more,
Mfano kuna Rafiki yangu ni mscottish yeye ni mental health nurse per hour analipwa £20

N:B. Kwa rate ya ss hv £1= 2800 tsh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda upande ndege vuuum utue Glasgow ndio unaweza cope maisha.

Lakini kama umeishi miji mingine iliyochangamka UK halafu uende Glasgow ni kama adhabu, hakuna pakwenda, club nyingi watu weusi mnazuiwa kuingia wknd, watanzania walioishi huko muda mrefu wana tabia za ajabu ni sawa utoke Dar uende Lindi...
Yeah nikweli MTU wa Usela mwingi Glasgow hakumfai, pako too calm labda uende ukaishi sehemu nyingine za UK, mfano London, Birmingham, Manchester na hata Liverpool.

Ila Kwa watu wa malengo basi sehemu Bora kabisa ya kutengeneza maisha,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kabisa Kabisa,Kwa uzoefu wangu Kwa maisha ya watu wanaolipwa kawaida Tu sio hao manurse basi mshahara wao wanalipa rent,walipa all respective bills,na kuvaa,Kula na bado unaweza kusave 1,000/- pounds monthly,sasa Kwa nurse Naamini itakuwa more,
Mfano kuna Rafiki yangu ni mscottish yeye ni mental health nurse per hour analipwa £20

N:B. Kwa rate ya ss hv £1= 2800 tsh

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nasikia huko watu wenye elimu yetu hii ya Kibongobongo wanadharaulika, yaani hawawezi kuajiriwa kwenye kampuni zao.
 
Back
Top Bottom