Ifahamu Kampuni anayomiliki Maharage Chande

Mbona Nape alishangilia faster tu Maharage alipotajwa kupelekwa TTCL baada ya Ulanga kuondolewa? Au wewe ndiye huyo mshangiliaji umekuja kujikosha tu japa baada ya kuona amerejeshwa?
Mkuu kweli ulitarajia Waziri anune? Mteule yeyote wa Rais ukiletewa lazima ufanye nae kazi, Nape watu hawamjui vizuri that dude is smart
 
Kama ni kweli siwezi kukubeza wala kutoa matamshi machafu kuna watu tunaliombea saana taifa na kupambana ila mpumbavu mmoja kwasababu anakalia kiti anawajibu majibu ya kipumbavu sana Mh. Rais hawa watu awajibishe mno kwasababu kama ni kweli anapambana kuna watu wengi wanamuangusha na ndiyo superior katika maofisi makubwa. Waongo na wanaumiza mno watumishi wa chini.

KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Wapinzani kwenye tawala hawakosekani ,lakini ni jukumu la kila Raia mwema kumsaidia Rais ,Rais Samia asingekuwa imara hii nchi isingekua hapa ilipo sasa ,siongei maneno ya kichawa ,walio ndani serikalini hasa inner circle watakua wananielewa
 
Wapinzani kwenye tawala hawakosekani ,lakini ni jukumu la kila Raia mwema kumsaidia Rais ,Rais Samia asingekuwa imara hii nchi isingekua hapa ilipo sasa ,siongei maneno ya kichawa ,walio ndani serikalini hasa inner circle watakua wananielewa
Narudia tena kama ni kweli GOD BLESS MY COUNTRY hatujuani humu JF ila kuna mambo yanaumiza kwasababu watumishi wa chini wanafanyiwa vitu ambavyo mkuu awezi jua. Kuwa mkweli uone moto.

Namalizia kwa kusema ulinzi no 1 ni mwenyezi Mungu pekee, ila mlinzi no 2 ni komando ipo hivyo popote pale uendapo.

Sisi wa chini acha tudharauliwe.
 
Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .

Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.

Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.

Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.

Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.

Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.

Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.

Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Nape si mojawapo wa aliyetaka ttcl imalizwe kabisa au yeye alitumika tu kama kisemeo?
Na kuna kiongozi mwingine alisema sirikali haifanyi biashara hivyo kuweka muelekeo wa kuichinjilia mbali titisielo. Ndio viongozi tuliokuwa nao.
 
Aaagh! SOFTNET??!!! 😂😂😂😂, yaani hiyo ni kampuni ya mfuko wa shati, na nikishiriki uanzishwaji wake..., naijua .., 😂😂😂

Ikitokea dili yeyote ya kimagumashi ndio hiwa inatupiwa hiyo kampuni, ni kampuni kasha (shell company). Hata ukiishtaki kwa lolote na ukashinda, hawana asset yeyote..., huoati kitu 😅😅
 
Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .

Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.

Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.

Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.

Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.

Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.

Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.

Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Aisee!
 
Mkuu kweli ulitarajia Waziri anune? Mteule yeyote wa Rais ukiletewa lazima ufanye nae kazi, Nape watu hawamjui vizuri that dude is smart
Ila mwanetu kuna icho ulichopewa ukavimbilwa nacho,ngoja tukuache maana hapa unachokifanya ni kule kuhemea juu juu kwa mtu alievimbilwa akili inakuwa haifanyi kazi mpaka tumbo lipungue
 
Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Kama amewang'amua tunataka kumwona akiwaondoa ili tuamini usemacho
 
...Maharage maharage maharageee maharagee... Maharage ni nani mbona kila kona maharage anatajwa... Au kwa vile mnapenda wali maharage... Maharage una nyota kali sana...
 
Rais Samia amefanya jambo kubwa sana hapa TTCL ingekufa
1695958665846.png

=ila bado Kuna hoja za msingi hapa zinazohitaji majibu., Na hili limejitokeza mara kadhaa.
 
...Maharage maharage maharageee maharagee... Maharage ni nani mbona kila kona maharage anatajwa... Au kwa vile mnapenda wali maharage... Maharage una nyota kali sana...
Alafu ndio kapandisha bei kilo yake bado kidogo upate nusu ya nyama.
Na sikia anashea kubwa ya maharage ukiacha TTCL kampuni ya wazee
 
Back
Top Bottom