Ifahamu Kampuni anayomiliki Maharage Chande

Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .

Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.

Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.

Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.

Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.

Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.

Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.

Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.


Mkongo wa Taifa una tija gani? Nimeomba connection mwaka umeisha, umebaki kusifia tu watu pasipo sababu, badiki kichwa cha habari kiwe ccm Oyee!

Rubbish.
 
Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .

Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.

Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.

Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.

Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.

Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.

Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.

Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Naona ukitetea tumbo lako hapa..
 
Ndio maana Nape ameanza tutaweza kupiga kura kupitia mtandao hapo kuna deal inataka kupigwa watu wapewe tenda ya kutengeneza mfumo wa kupiga kura.
 
wewe hujaona kama RAIS kawa smart kwa action alizochukua?
Yaani Rais kupitia vyanzo vyote vya kupata taarifa alishindwa kubaini Maharage anamiliki kampuni ndani ya TTCL?

Sasa kama kitu kidogo kama hiki hakikugundulika mapema vipi kuhusu upigaji wa kutisha unaofanywa kwa akili kubwa?
 
Kuwa mfanyabiashara sio dhambi ,hata marekani Trump ni mfanya biashara mkubwa sana lakini walimpa urais
Maharage hana kosa kuwa na umiriki wa biashara ,it is the same na watu wenye biashara tofauti
Unalinganisha Nchi ya marekani ambayo imejitosheleza katika kila taasisi kwa kila kitu na Nchi ambayo bado inachechemea ???!!! 😂
Angekuwa smart haya maharage angeyafanya yakachacha kabisa haya matajiri wafanyaniashara hawawezi kufanya KAZI kwa interest ya umma badara yake wabatafuta sehemu ya kuiba kuzidi kuwa ma tycoon .ndo maana tunataka katiba mpya kwa Hali na mali
hata huko Marekani akina Trump wanashitakiwa kwa mambo kama hayo je katika viNchi kama hivi vyetu si ndo balaa kubwa ?? !!
Kama mtu anataka siasa au uongozi aache biashara !!
Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa uadilifu TUSIDANGANYANE !!!
 
Ila sisi wa Africa kiukweli tuna matatizo mno. Acha tu watu waseme tuna laana kwasababu hatujitambui na halitakuja tokea kujitambua kwasababu kadiri mwanga unavyozidi kutoa nuru ndivyo wengi wetu tunazidi kuwa gizani.
Tamaa zilizopitiliza na Ulafi usiokuwa na faida yeyote !!
Mwisho wa siku tunavimbiwa tu na kupata yale maradhi sugu !! 😱
 
Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .

Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.

Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.

Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.

Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.

Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.

Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.

Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.

Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.

Ilikuwa ni mistake kubwa kumuondoa p ulanga ttcl , chande despite of maslahi ilikuwa sio muda wa kumtupia ttcl, that was bad move
 
Back
Top Bottom