Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,751
Ana bahati ya kupendwa hongera zake!Niseme tu akili nikama imestak hivi nikifikiria hiki inakuja picha yake nikifikiria Kile picha yake navitu vingine ambavo sivielewi elevi na havina afya kabisa
Ana bahati ya kupendwa hongera zake!Niseme tu akili nikama imestak hivi nikifikiria hiki inakuja picha yake nikifikiria Kile picha yake navitu vingine ambavo sivielewi elevi na havina afya kabisa
Nikweli but kuna matatizo mengine nisiri ya wawili hutakiwi kutangaza kwa hawa binadamu hawa wakileo.. wewe unamwambia yeye ndokwanza anaenda kusambaza.. Na si Kila matatizo yako uwambie watu wenyewe hawa majirani kutwa nzima kujungua tu . for going through social networks yeah I agree with that.. ThanksMusic would just do for me, go through MMU and Jokes Forums, Talk to your best friend, share your problem, just let it out.
Ulikosea, you call a person only once. Asipopokea maana yake yupo busy au mbali na simu na obviously ataona missed call yako, asipopiga maana yake hataki. Ukipiga mara 20 haisaidii, zaidi sana unampa kichwa.Ndoivo yani it started yesterday naleo asubuhi I called him several times but no answer call call call weeee wapi kazini call call call weeee no answer hata kitafunwa nimeshindwa kula nimekunywa chai tu napo robo kikombe naona giza tu call call call weeee wapi nikarud home ndoivo naona matope tu.. Nikajikaza kusabuni nisiwaze teh nazima Simi nawasha zima washa ivoivo eti hii mida ya jion Jioni kabisa ndomtu ananipigia....nami wala sijapokea make nina hasira sana yani hatutaelewana kwa sasa I know myself.
Mhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh thanks ila mhmmhmhmhmh!Ulikosea, you call a person only once. Asipopokea maana yake yupo busy au mbali na simu na obviously ataona missed call yako, asipopiga maana yake hataki. Ukipiga mara 20 haisaidii, zaidi sana unampa kichwa.
Next time don't do that...
Sema huu mstari kila unapojisikia down, for years umenisaidia sanaNayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. OMG am gaining some strength.. Thanks
Bratan hapo ndo ninapomkubali shem wako.. Akipiga simu mara moja haijapokelewa basi atatulia mpaka hapo atakapopigiwa..Ulikosea, you call a person only once. Asipopokea maana yake yupo busy au mbali na simu na obviously ataona missed call yako, asipopiga maana yake hataki. Ukipiga mara 20 haisaidii, zaidi sana unampa kichwa.
Next time don't do that...
Pole mamy ila kama unampenda usijitese pokea ongea nae mpuuze pia.. kama unaona moyo umechoka mtwange kibuti now usiwaze mara mbili kiwashe be single huwezi lazimisha mapenziNdoivo yani it started yesterday naleo asubuhi I called him several times but no answer call call call weeee wapi kazini call call call weeee no answer hata kitafunwa nimeshindwa kula nimekunywa chai tu napo robo kikombe naona giza tu call call call weeee wapi nikarud home ndoivo naona matope tu.. Nikajikaza kusabuni nisiwaze teh nazima Simi nawasha zima washa ivoivo eti hii mida ya jion Jioni kabisa ndomtu ananipigia....nami wala sijapokea make nina hasira sana yani hatutaelewana kwa sasa I know myself.
My dear hiyo ndiyo dawaMhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh thanks ila mhmmhmhmhmh!
Nilishawahi kujikuta kwenye same situation,siku moja nikapata idea moja iliyochange the whole situationHello friends,
If you are just t home, alone, stressed, hamu ya kula hamna, usingizi hauji, mkikaa na majirani stori haziendi unajikuta ilimradi upoupo tu uangalie muvi wapi, sikiliza muziki wapi, weka sauti kubwa wapi wewe ni kuwaza na kuwazua tu hupati majibu, pombe hunywi na upo bushi yani you see everything as hell. What else can you do in order to be okay and happy?
Hapo kazini masaa ya kazi yameisha kimagumashi tu you was so boring. Bora kazini walau ulikua bize sasa umerudi kwako and you feel some sorts of fucking shits yani kama kama mizimu si mizimu watu si watu midoli si midoli what are you going to do otherwise it is as if you are going die.
Utafanya nini?